Maktaba Kiungo: MAZAO YA CHAKULA

MAABARA ZA NYUKLIA KUWEZESHA TZ KUUZA BIDHAA NJE YA NCHI POPOTE DUNIANI

Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania kujenga Maabara katika Kanda. Maabara za Nyuklia  Mkombozi wa Mkulima, Mfugaji na Mvuvi Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia uwekezaji wa maabara za Nyuklia.   Ili Tanzania ifanikiwe kuwa na vigezo hitajika vya kuuza bidhaa zake nje ya nchi bila kuchagua baadhi ya masoko inatakiwa kuwa na …

Soma zaidi »

BANK YA TADB YATOA BILIONI 1.285 KUSAIDIA WAKULIMA WA ALIZETI

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, amepongeza juhudi za Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa kusaidia wakulima wadogo nchini hali inayoongeza uzalishaji na kuwaongezea kipato wakulima hao. Makamu wa Rais aliyasema hayo wakati akikabidhi hundi ya mfano yenye thamani ya Shilingi 1.285 Billioni zilizotolewa na TADB kwa ajili …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU AZINDUA MATREKTA MAWILI AINA YA URSUS

Kiwanda cha Kuunganisha Trekta za Ursus ni kiwanda kinachosimamiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) ambapo huunganisha Trekta zinazokuja kwa vipande kutoka nchini Poland. Kiwanda hicho kilianza rasmi kufanya kazi Aprili, 2017 ambapo ni moja ya matunda ya kauli mbiu ya Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli ya ujenzi …

Soma zaidi »

WAZALISHAJI SUKARI NCHINI WATAKIWA KUONGEZA UZALISHAJI

Serikali imesema kuanzia sasa haitatoa vibali vya uagizaji sukari nje ya nchi kwa wazalishaji wa sukari badala yake serikali itatafuta utaratibu mwingine wa kuagiza. Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga ameyasema hayo wakati akifungua mkutano na Wadau wa Sekta Binafsi ambapo; lengo lilikuwa ni kubadilishana uzoefu, kupata maoni yao namna …

Soma zaidi »

SERIKALI YA TANZANIA NA MISRI KUSAINIANA MKATABA WA MAKUBALIANO WA KUANZISHA MASHAMBA MAKUBWA YA PAMOJA

Serikali ya Tanzania na Misri zinatarajia kusainiana mkataba wa makubaliano wa kuanzisha mashamba makubwa ya pamoja kwa lengo la kuinua kilimo cha ngano, mpunga na pamba Hayo yamebainishwa na Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga mara baada ya kufanya mazungumzo na timu ya Wataalamu wa kilimo kutoka Misri wakiongozwa na Waziri …

Soma zaidi »

SERIKALI KUINUA ZAO LA KAHAWA NCHINI

Serikali imeamua kuanzisha minada ya kahawa kwenye maeneo ya uzalishaji kuanzia msimu wa 2019/2020 ili kuinua zao hilo la kimkakati nchini. Hayo yamesemwa Bungeni Dodoma na Naibu Waziri wa Kilimo,  Omary Mgumba wakati akijibu swali Mhe. Bernadeta Mushashu kuhusu mpango wa Serikali wa kuinua zao la kahawa Mkoani Kagera ikiwemo kupandisha …

Soma zaidi »

MAGEREZA KUMI (10) YA KIMKAKATI KUZALISHA CHAKULA CHA WAFUNGWA, GEREZA SONGWE LIKIWEMO

Kamishina Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike amesema kuwa Jeshi la Magereza limeanza utekelezaji wa mpango wa miaka mitano wa kuelekea kujitosheleza kwa chakula cha wafungwa magerezani katika magereza kumi (10) ya kimkakati likiwemo Gereza Songwe, lililopo Mkoani Mbeya ambalo limelima hekari 750 za zao la mahindi. Akizungumza na wanahabari …

Soma zaidi »

TANZANIA INA ZIADA YA TANI MIL 3.0 YA MAZAO YA CHAKULA – WAZIRI HASUNGA

Kwa mliganisho wa mahitaji na uzalishaji nchi ina ziada ya tani 3,013,515 na imejitosheleza kwa asilimia 123 na 120 mtawalia ambapo uzalishaji katika msimu wa 2016/2017 na 2015/2016 ulikuwa tani 15,900,864 na 16,172,841 mtawalia ambapo mahitaji ya chakula yanayoendana na uzalishaji huo ni tani 13,159,326, na 13,300,034 kwa mwaka wa …

Soma zaidi »