JK – JPM Anafanya Kazi Nzuri Sana!

RAIS MSTAAFU AKUTANA NA RAIS JPM
Rais Dk. John Pombe Magufuli akiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk. Jakaya Mrisho Kikwete walipokutana na kufanya mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam.

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Baada ya mazungumzo yao Mhe. Rais Mstaafu Kikwete amesema wamekutana kwa utaratibu wa kawaida wa kusalimiana na kutakiana heri katika majukumu.

Ad
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA RAIS MSTAAFU JAKAYA
Rais Dk. John Pombe Magufuli akiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk. Jakaya Mrisho Kikwete walipokutana na kufanya mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo

“Nimekuja kumsalimia nakumtakia kila la heri, anafanya kazi nzuri, aendelee tu kuchapa kazi na sisi tupo kwa namna yoyote ya kumpa nguvu, tupo tayari kumsaidia” amesema Mhe. Rais Mstaafu Kikwete.

 

https://youtu.be/030qK6mv0sk

 

Ad

Unaweza kuangalia pia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimfariji Katibu wa NEC (Uchumi na Fedha) wa Chama Cha Mapinduzi Dkt. Frank Hawassi kufuatia kifo cha Mke wake Bi. Damaris Hawassi wakati alipowasili kushiriki msiba huo Miyuji Jijini Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *