JK – JPM Anafanya Kazi Nzuri Sana!

RAIS MSTAAFU AKUTANA NA RAIS JPM
Rais Dk. John Pombe Magufuli akiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk. Jakaya Mrisho Kikwete walipokutana na kufanya mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam.

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Baada ya mazungumzo yao Mhe. Rais Mstaafu Kikwete amesema wamekutana kwa utaratibu wa kawaida wa kusalimiana na kutakiana heri katika majukumu.

Ad
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA RAIS MSTAAFU JAKAYA
Rais Dk. John Pombe Magufuli akiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk. Jakaya Mrisho Kikwete walipokutana na kufanya mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo

“Nimekuja kumsalimia nakumtakia kila la heri, anafanya kazi nzuri, aendelee tu kuchapa kazi na sisi tupo kwa namna yoyote ya kumpa nguvu, tupo tayari kumsaidia” amesema Mhe. Rais Mstaafu Kikwete.

 

 

Ad

Unaweza kuangalia pia

Mitazamo ya Uongozi ya Mhe. Ummy Ally Mwalimu katika Sekta za Afya, Maendeleo ya Jamii, na Haki za Watoto

Ummy Ally Mwalimu ameonyesha mitazamo ya uongozi yenye mwelekeo wa kujali maendeleo na ustawi katika …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *