WAZIRI MKUU AJUMUIKA NA WATALII TOKA CHINA KATIKA CHAKULA CHA USIKU Matokeo ChanyA+ May 13, 2019 Taarifa Vyombo vya Habari, Taarifa ya Habari, Tanzania MpyA+, Waziri Mkuu Acha maoni 928 Imeonekana Waziri Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utalii na Utamaduni katika jumbo la Zhejiang, Bw. Xu Peng, wakati alipowapokea Watalii zaidi ya 300 tokea nchini China, katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019. Tokea kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China, Bw. He Liehui na kulia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamis Kigwangala. Waziri Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utalii na Utamaduni katika jumbo la Zhejiang, Bw. Xu Peng, wakati alipowapokea Watalii zaidi ya 300 tokea nchini China, katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019. Tokea kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China, Bw. He Liehui na kulia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamis Kigwangala. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Afrika Mashariki Prof.Palamagamba Kabudi, akizungumza na watalii waliotoka China wakati alipowapokea Watalii zaidi ya 300 tokea nchini China, katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019. Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamis Kigwagalla akizungumza na watalii waliotoka China wakati alipowapokea Watalii zaidi ya 300 tokea nchini China, katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019. Watalii tokea nchini China, wakiwa wameshika bendera ya Tanzania, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili yao, baada ya kuwasili katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019. Watalii tokea nchini China, wakiwa wameshika bendera ya Tanzania, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili yao, baada ya kuwasili katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019. kushoto ni He Xiao Ping na Hu Baohua. Waziri Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utalii na Utamaduni katika jumbo la Zhejiang, Bw. Xu Peng, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa Watalii zaidi ya 300 tokea nchini China, katika Hoteli ya Mount Meru mkoani Arusha, Mei 12.2019. Watalii tokea nchini China, wakiwa wameshika bendera ya Tanzania, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili yao, baada ya kuwasili katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019. kushoto ni He Xiao Ping na Hu Baohua. Waziri Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa zawadi ya picha ya tingatinga, Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China, Bw. He Liehui, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili ya watalii tokea nchini China, Mei 12.2019. Waziri Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa zawadi ya picha ya tingatinga, Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China, Bw. He Liehui, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili ya watalii tokea nchini China, Mei 12.2019. Msanii wa musiki tokea China Di Na , akiwa amejichanganya na wasanii wa ngoma za asili nchini, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili ya watalii tokea China, Mei 12.2019. Ad Share Facebook Twitter Stumbleupon LinkedIn Pinterest