WAZIRI MKUU AJUMUIKA NA WATALII TOKA CHINA KATIKA CHAKULA CHA USIKU

PMO
Waziri Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utalii na Utamaduni katika jumbo la Zhejiang, Bw. Xu Peng, wakati alipowapokea Watalii zaidi ya 300 tokea nchini China, katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019. Tokea kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China, Bw. He Liehui na kulia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamis Kigwangala.
PMO
Waziri Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utalii na Utamaduni katika jumbo la Zhejiang, Bw. Xu Peng, wakati alipowapokea Watalii zaidi ya 300 tokea nchini China, katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019. Tokea kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China, Bw. He Liehui na kulia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamis Kigwangala.
PMO
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Afrika Mashariki Prof.Palamagamba Kabudi, akizungumza na watalii waliotoka China wakati alipowapokea Watalii zaidi ya 300 tokea nchini China, katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019.
PMO
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamis Kigwagalla akizungumza na watalii waliotoka China wakati alipowapokea Watalii zaidi ya 300 tokea nchini China, katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019.
PMO
Watalii tokea nchini China, wakiwa wameshika bendera ya Tanzania, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili yao, baada ya kuwasili katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019.
PMO
Watalii tokea nchini China, wakiwa wameshika bendera ya Tanzania, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili yao, baada ya kuwasili katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019. kushoto ni He Xiao Ping na Hu Baohua.
PMO
Waziri Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utalii na Utamaduni katika jumbo la Zhejiang, Bw. Xu Peng, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa Watalii zaidi ya 300 tokea nchini China, katika Hoteli ya Mount Meru mkoani Arusha, Mei 12.2019.
PMO
Watalii tokea nchini China, wakiwa wameshika bendera ya Tanzania, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili yao, baada ya kuwasili katika uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro, Mei 12.2019. kushoto ni He Xiao Ping na Hu Baohua.
PMO
Waziri Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa zawadi ya picha ya tingatinga, Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China, Bw. He Liehui, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili ya watalii tokea nchini China, Mei 12.2019.
PMO
Waziri Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa zawadi ya picha ya tingatinga, Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China, Bw. He Liehui, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili ya watalii tokea nchini China, Mei 12.2019.
PMO
Msanii wa musiki tokea China Di Na , akiwa amejichanganya na wasanii wa ngoma za asili nchini, kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili ya watalii tokea China, Mei 12.2019.
Ad

Unaweza kuangalia pia

NAIBU WAZIRI MAMBO YA NJE DKT. NDUMBARO AMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA NCHI TANO HAPA NCHINI

4 Maoni

  1. hello there and thank you for your info – I have definitely picked up anything new from
    right here. I did however expertise several technical issues using
    this web site, since I experienced to reload the site
    lots of times previous to I could get it to load properly.
    I had been wondering if your web hosting is OK? Not that I am complaining, but
    sluggish loading instances times will sometimes affect your placement in google and could damage your high-quality score if advertising and
    marketing with Adwords. Anyway I am adding this RSS to my
    email and can look out for much more of your respective intriguing content.
    Make sure you update this again soon.. Escape roomy lista

  2. I like this weblog very much, Its a really nice billet to read and receive
    info.?

  3. Everything is very open with a really clear explanation of the issues. It was definitely informative. Your website is useful. Many thanks for sharing.

  4. Oh my goodness! Awesome article dude! Thanks, However I am experiencing problems with your RSS. I don’t know why I cannot subscribe to it. Is there anybody having similar RSS problems? Anybody who knows the answer can you kindly respond? Thanks.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *