MRADI WA MFUMO WA KUTIBU MAJI UMEFIKIA ASILIMIA 80 MKOANI GEITA

MJ
Bomba zikishushwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa maji wa Same – Mwanga – Korogwe.
MJ
Bomba zikishushwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa maji wa Same – Mwanga – Korogwe.
MJ
Bomba zikishushwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa maji wa Same – Mwanga – Korogwe.
MJ
Nyang’whale: Mradi wa maji Nyamtukuza, kazi ya kulaza bomba la ukubwa wa inchi 16 (kipenyo) ikiendelea, umbali wa km 44 ambapo bomba limeshalazwa katika km 28.
MJ
Nyang’whale: Mradi wa maji Nyamtukuza, kazi ya kulaza bomba la ukubwa wa inchi 16 (kipenyo) ikiendelea, umbali wa km 44 ambapo bomba limeshalazwa katika km 28.
MJ
Mfumo wa kutibu maji katika mradi wa maji wa Imaliabupina – Ichwankima mkoani Geita. Mradi umefikia asilimia 80 ya ujenzi na wananchi katika vijiji 11 watapata huduma ya majisafi,salama na ya kutosheleza.
MJ 3-01
Mfumo wa kutibu maji katika mradi wa maji wa Imaliabupina – Ichwankima mkoani Geita. Mradi umefikia asilimia 80 ya ujenzi na wananchi katika vijiji 11 watapata huduma ya majisafi,salama na ya kutosheleza.

 

Ad

Unaweza kuangalia pia

MIRADI YA MAJI 547 INATEKELEZWA KATIKA MAENEO MBALIMBALI NCHINI – PROF MBARAWA

Jumla ya miradi ya maji 547 inaendelea kutekelzwa nchini yenye thamani ya shilingi trilion 3.76, …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *