WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 1683 KUHUDHURIA KONGAMANO LA KIBIASHARA JIJINI DAR

B 2-01
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) jijini Dar es salaam leo kuhusu kongamano la wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda linalotarajiwa kufunguliwa kesho na Dkt. John Pombe Magufuli kwenye ukumbi wa Julius Nyerere.
  • Wafanyabiashara zaidi ya  1683 wanatarajiwa kihudhuria  katika kongamano la kibiashara la nchi ya nchi mbili, Tanzania na Uganda litakalofanyka katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
  • Mkutano huo wa wafanyabiashara zaidi ya 1056 wa Tanzania na wauganda 426  utafunguliwa kesho Septemba 6, 2019 na Rais wa Jamhuri ya Tanzania John Pombe Magufuli wakishirikiana na Rais  wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni.
  • Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Waziri wa biashara na Viwanda Innoncent Bashungwa amesema kuwa maandalizi ya kufanyika kongamano la biashara kati ya  nchi hizi mbili Tanzania na Uganda yamekamilika na hivi sasa tunapokea wafanyabiashara kutoka nchini uganda kwaajili ya kesho mapema saa tatu asubuhi kongamano hilo lifunguliwe na marais wetu wa Tanzania na Uganda.
  • Hata hivyo  Waziri Bashungwa amesema kuwa wafanyabiashara hapa mchini wajiandae  vyema katika kubadilishana uzoefu wa masuala ya biashara na wafanyabiashara wa  Uganda ili kuunganisha dunia pamoja.
  • Amesema kuwa wafanyabiashara wa hapa nchini pamoja na taasisi mbalimbali za serikali watahudhulia mkutano huo ili kujadili sera na vikwazo vya kiuchumi na kibiashara katika nchi hizo mbili ili waweze kutatua na kufanya biashara bila vikwazo vigumu vya kibiashara
Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS MAGUFULI ATEMBELEA DAR ES SALAAM ZOO, AVUTIWA NA WANYAMA WENGI WANAOFUGWA HUMO

361 Maoni

  1. Michael Jordan https://chicago-bulls.michael-jordan-ar.com is one of the greatest basketball players of all time, whose career with the Chicago Bulls is legendary.

  2. дизайн интерьера онлайн https://dizayn-interera-doma.ru

  3. The golf https://arabic.golfclub-ar.com industry in the Arab world is growing rapidly, attracting players from all over the world.

  4. Mike Tyson https://american-boxer.mike-tyson-ar.com one of the most famous and influential boxers in history, was born on June 30, 1966 in Brooklyn, New York.

  5. Manny Pacquiao https://filipino-boxer.manny-pacquiao-ar.com is one of the most prominent boxers in the history of the sport.

  6. Muhammad Ali https://american-boxer.muhammad-ali-ar.com is perhaps one of the most famous and greatest athletes in the history of boxing.

  7. The road to the Premier League https://english-championship.premier-league-ar.com begins long before a team gets promoted to the English Premier League for the first time

  8. In recent years, the leading positions in the Spanish https://spanish-championship.laliga-ar.com championship have been firmly occupied by two major giants – Barcelona and Real Madrid.

  9. The Italian football championship https://italian-championship.serie-a-ar.com known as Serie A, has seen an impressive revival in recent years.

  10. In the German football https://german-championship.bundesliga-football-ar.com championship known as the Bundesliga, rivalries between clubs have always been intense.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *