WAZIRI LUGOLA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA MAKAO MAKUU YA UHAMIAJI JIJINI DODOMA

ND 2-01
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akikagua Mradi wa Ujenzi wa Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji wakati wa ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya mradi huo leo, jijini Dodoma.
ND 3-01
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akizungumza baada ya Ukaguzi wa Mradi wa Ujenzi wa Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji wakati wa ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya mradi huo leo, jijini Dodoma.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo,Ramadhani Kailima.
ND 4-01
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akitoka kukagua Mradi wa Ujenzi wa Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji wakati wa ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya mradi huo leo, jijini Dodoma.
ND 5-01
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akisalimiana na Wahandisi wa Mradi wa Ujenzi wa Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji wakati wa ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya mradi huo leo, jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Ad

Unaweza kuangalia pia

SERIKALI KUTOINGILIA TAALUMA YA UKAGUZI WA HESABU ZA FEDHA

Serikali imeeleza kuwa haina mpango wa kuingilia taaluma ya ukaguzi wa hesabu nchini kwa kuondoa …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *