Rais Dkt. John Magufuli wa pili toka kushoto, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa wa kwanza toka kushoto, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete wa tatu toka kushoto, Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi wa nne toka kushoto na Rais za Zanznibar Dkt. Ali Mohamed Shein wote wakiwa wameshika kitabu  cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa "My Life, My Purpose" kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu,  katika uzinduzi wa kitabu hicho uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam

NIMENUFAIKA SANA KUWA NA MWALIMU KAMA MSHAURI WANGU – RAIS MSTAAFU MKAPA

PHOTO-2019-11-12-13-08-00
Sheikh wa Mkoa Dar Es Salaam Alhad Mussa Salum  akiomba dua katika uzinduzi wa kitabu cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-13-09-50
 Baba Askofu Jackson Sosthenes  wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar Es Salaam, akifanya maombi  katika uzinduzi wa kitabu cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-13-13-07
Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza katika uzinduzi wa kitabu cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-13-14-52
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Gerson Msigwa akizungumza katika  uzinduzi wa kitabu cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam

 

PHOTO-2019-11-12-12-40-06
Balozi Dkt Modestus Kipilimba wa tatu toka kulia akiwa na Balozi Prof. Benson Bana wakifatilia uzinduzi wa kitabu cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-12-42-47
Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa  akizungumza katika uzinduzi wa kitabu chake “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-12-44-53
 Rais Dkt. John Magufuli wa tatu toka kushoto, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa wa pili toka kushoto, Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi wa nne toka kushoto, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete wa tano toka kushoto,  na Rais za Zanznibar Dkt. Ali Mohamed Shein  na wa kwanza toka kushoto ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika uzinduzi  kitabu  cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu,  katika uzinduzi wa kitabu hicho uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-12-47-07
Marais Wastaafu Ali Hassan Mwinyi, Dkt. Jakaya Kikwete na  Benjamin Mkapa wakishika kitabu kwa pamoja huku Rais Dkt John Magufuli akikata utepe kuashiria kuzindua kitabu cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-12-48-30
Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifungua kitabu mara baada ya kukizindua wanashuhudia nia Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi ,Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete  na Rais za Zanznibar Dkt. Ali Mohamed Shein katika  uzinduzi wa kitabu cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-12-50-02
Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa akisaini moja kitabu chake katika uzinduzi wa kitabu chake “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-12-51-11
Rais Dkt. John Magufuli wa pili toka kushoto, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa wa kwanza toka kushoto, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete wa tatu toka kushoto, Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi wa nne toka kushoto na Rais za Zanznibar Dkt. Ali Mohamed Shein wote wakiwa wameshika kitabu  cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu,  katika uzinduzi wa kitabu hicho uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-12-54-13
Rais Dkt. John Magufuli wa pili toka kushoto, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa wa kwanza toka kushoto, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete wa tatu toka kushoto, Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi wa nne toka kushoto na Rais za Zanznibar Dkt. Ali Mohamed Shein wakionyesha  kitabu  cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu,  katika uzinduzi wa kitabu hicho uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-12-55-57
Rais Dkt. John Magufuli wa pili toka kushoto, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa wa kwanza toka kushoto, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete wa tatu toka kushoto, Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi wa nne toka kushoto na Rais za Zanznibar Dkt. Ali Mohamed Shein wote wakisonyesha kitabu  cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu,  katika uzinduzi wa kitabu hicho uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-13-00-52
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba Kabudi uzinduzi wa kitabu cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-13-02-03
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akipeana mkono na Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa katika uzinduzi wa kitabu chake “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-13-04-17
Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa akizungumza katika uzinduzi wa kitabu chake “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
PHOTO-2019-11-12-13-06-21
Wageni mbalimbali wakifatilia uzinduzi wa kitabu cha historia ya maisha ya Rais Mstaafu Benjamin Willam Mkapa kinachoitwa “My Life, My Purpose” kinachoelezea maisha yake tangu alipozaliwa mpaka kuwa wa Rais Tanzania na maisha yake baada ya kustaafu, katika Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano cha Julius Nyerere(JNICC), jijini Dar Es Salaam
Ad

Unaweza kuangalia pia

LIVE: UZINDUZI WA MAJENGO YA OFISI YA MANISPAA NA MKUU WA WILAYA KIGAMBONI JIJINI DSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 11, Febuari, …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *