UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA KUZALISHA AJIRA 10,000

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimlaki mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni alipowasili kutia saini Waraka wa Pamoja Unaoagiza kuanza haraka mradi wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga (Tanzania) kwenye sherehe fupi iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Jumapili Septemba 13, 2020

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni tarehe 13 Septemba, 2020 amefanya ziara ya kikazi ya siku 1 hapa nchini ambapo ameungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kushuhudia utiaji saini wa makubaliano ya kukamilisha majadiliano ya utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta la kutoka Hoima nchini Uganda hadi bandari ya Tanga nchini Tanzania. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimlaki mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni alipowasili kutia saini Waraka wa Pamoja Unaoagiza kuanza haraka mradi wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga (Tanzania) kwenye sherehe fupi iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Jumapili Septemba 13, 2020

Utiaji saini huo umefanyika katika uwanja wa ndege wa Chato Mkoani Geita ambapo Waheshimiwa Marais hao pia wametia saini waraka wa pamoja wa kuagiza kuanza haraka kwa utekelezaji wa mradi huo.

Ad

Hafla ya utiaji saini wa makubaliano hayo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Tanzania na Uganda wakiwemo Mawaziri, Wanasheria Wakuu wa Serikali, Wakuu wa Mikoa, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, viongozi na wataalamu wa taasisi mbalimbali za Serikali na viongozi wa vyama vya siasa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakitia saini Waraka wa Pamoja Unaoagiza kuanza haraka mradi wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga (Tanzania) kwenye sherehe fupi iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Jumapili Septemba 13, 2020

Waziri wa Nishati wa Tanzania, Dkt. Medard Kalemani amesema bomba litakalojengwa litakuwa na urefu wa kilometa 1,445 ambapo kilometa 1,149 kati yake zinapita nchini Tanzania, litapita katika mikoa 8, wilaya 24 na vijiji 280 hapa nchini, litakuwa na uwezo wa kupitisha mapipa 216,000 kwa siku, litazalisha ajira 10,000 na kwamba kwa miaka 25 ya mradi huo Tanzania itapata mapato ya kiasi cha shilingi Trilioni 7.5.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Tanzania Prof. Adelardus Kilangi amesoma maelekezo ya pamoja yaliyotolewa na kutiwa saini na Waheshimiwa Marais ambapo wameelekeza kuwa kila nchi ichukue hatua za haraka ili kutia saini mkataba kati ya nchi husika na kampuni zinazotekeleza mradi huo, kila nchi ianze kwa haraka mashauriano ili kusaini mikataba midogo inayohusika katika mradi huo na pia kila nchi ichukue hatua ili kuwezesha utekelezaji wa haraka wa mradi huo. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakishuhudia mawaziri wa Nishati wa nchi zao ( Mhe. Mary Goretti Kitutu wa Uganda na Dkt. Medard Kalemani wa Tanzania) wakitia saini mkataba wa kuanza haraka mradi wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga (Tanzania) kwenye sherehe fupi iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Jumapili Septemba 13, 2020

Katika hotuba yake, Mhe. Rais Magufuli amempongeza na kumshukuru Mhe. Rais Museveni kwa kuchukua hatua madhubuti za kutafuta mafuta nchini mwake, kukubali bomba lipitishwe nchini Tanzania na pia kuridhia asilimia 60 ya faida ichukuliwe na Tanzania (ambako bomba linapita kwa Zaidi ya asilimia 70) ilihali Uganda ikichukua faida kwa asilimia 40.

Mhe. Rais Magufuli amesema kutekelezwa kwa mradi huo ni ushindi mkubwa wa kiuchumi kwa Uganda na Tanzania pamoja na ukanda wote wa Afrika Mashariki na ameahidi kuwa Tanzania itasimamia masuala yote yaliyobaki ili utekelezaji uanze haraka kwa manufaa ya Watanzania na Waganda.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea mbele ya mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kutia saini Waraka wa Pamoja Unaoagiza kuanza haraka mradi wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga (Tanzania) kwenye sherehe fupi iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Jumapili Septemba 13, 2020

Aidha, Rais Magufuli ameeleza kuwa kutekelezwa kwa mradi huo kutarahisisha upelekaji wa gesi ya Tanzania nchini Uganda kupitia njia hiyo hiyo na pia kutarahisisha usafirishaji wa mafuta yanayotafutwa katika mbuga ya Wembele nchini Tanzania.

Kwa upande wake, Rais Museveni ameelezea kufurahishwa kwake na hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa mradi huo na amebainisha kuwa kwa sasa jambo muhimu ni kuanza utekelezaji wa mradi ili wananchi waanze kuona manufaa yake badala ya kupoteza muda mwingi zaidi katika majadiliano.

Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni akiongea baada ya kutia saini Waraka wa Pamoja Unaoagiza kuanza haraka mradi wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga (Tanzania) kwenye sherehe fupi iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Jumapili Septemba 13, 2020

Rais Museveni amesema utafiti uliofanywa katika asilimia 40 ya bonde la mto Albert huko Hoima nchini Uganda umebaini kuwepo kwa mapipa bilioni 6.5 ya mafuta ghafi na kwamba zipo dalili njema kuwa asilimia 60 za eneo ambalo halijatafitiwa pia kuna mafuta na kwamba Uganda inatarajia kupata mafuta mengine katika ukanda wa Kadamu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru kwa hotuba nzuri Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kutia saini Waraka wa Pamoja Unaoagiza kuanza haraka mradi wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga (Tanzania) kwenye sherehe fupi iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Jumapili Septemba 13, 2020

Amesimulia kuwa baada ya kubaini kuwa wataalamu wa mataifa ya nje walikuwa wakimyumbisha katika mpango wake wa kupata mafuta nchini Uganda, aliamua kuchukua hatua za kuwasomesha vijana wa Uganda na baadaye vijana hao wakafanya utafiti na kisha kupata mafuta ambayo leo yamefikia hatua ya kuchimbwa, na pia ametoa wito kwa wananchi wa Tanzania na Uganda kuamka na kuchapa kazi za uzalishaji mali kwa maendeleo badala ya kuishia kuzalisha kwa kujikimu.

Rais Museveni amerejea nchini Uganda.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni akimsindikiza mgeni wake anayeagana na mawaziri wa Tanzania wakati akiondoka kurejea nyumbani baada ya kutia saini Waraka wa Pamoja Unaoagiza kuanza haraka mradi wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga (Tanzania) kwenye sherehe fupi iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Jumapili Septemba 13, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wakipunga mikono kumuaga Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakati akiondoka kurejea nyumbani baada ya kutia saini Waraka wa Pamoja Unaoagiza kuanza haraka mradi wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga (Tanzania) kwenye sherehe fupi iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Jumapili Septemba 13, 2020

Ad

Unaweza kuangalia pia

AMKA TANZANIA, KAZI NI MAENDELEO, TUIJENGE NCHI YETU.

SIO NDOTO TENA!! TUKIISHI FALSAFA YA 4R YA RAIS DKT SAMIA TUTAJENGA TAIFA IMARA NA …

61 Maoni

  1. служба поддержки такси https://zakaz-taxionline.ru/

  2. Ищете способ расслабиться и получить незабываемые впечатления? Мы https://t.me/intim_tmn72 предлагаем эксклюзивные встречи с привлекательными и профессиональными компаньонками. Конфиденциальность, комфорт и безопасность гарантированы. Позвольте себе наслаждение и отдых в приятной компании.

  3. голяк в хорошем качестве https://golyak-serial-online.ru

  4. Портал о культуре Ярославля – ваш гид по культурной жизни города. Здесь вы найдёте информацию о театрах, музеях, галереях и исторических достопримечательностях. Откройте для себя яркие события, фестивали и выставки, которые делают Ярославль культурной жемчужиной России.

  5. Скачать свежие новинки песен https://muzfo.net 2024 года ежедневно. Наслаждайтесь комфортным прослушиванием, скачивайте музыку за пару кликов на сайте.

  6. купить квартиру в казани новостройка от застройщика купить квартиру от застройщика цены

  7. продвижение сайта в топ 10 яндекс цена продвижение сайта yandex

  8. анонсы серверов л2
    Сервера л2

  9. Karim Benzema https://karimbenzema.prostoprosport-ar.com is a French footballer who plays as a striker for the Saudi Arabian club Al-Ittihad. He played for the French national team, for which he played 97 matches and scored 37 goals. At the age of 17, he became one of the best reserve players, scoring three dozen goals per season.

  10. Портал о здоровье
    https://www.rezus.ru и здоровом образе жизни, рекомендации врачей и полезные сервисы. Простые рекомендации для укрепления здоровья и повышения качества жизни.

  11. Toni Kroos https://tonikroos.prostoprosport-ar.com is a German footballer who plays as a central midfielder for Real Madrid and the German national team. World champion 2014. The first German player in history to win the UEFA Champions League six times.

  12. Mohamed Salah https://mohamedsalah.prostoprosport-ar.com is an Egyptian footballer who plays as a forward for the English club Liverpool and the Egyptian national team. Considered one of the best football players in the world. Three-time winner of the English Premier League Golden Boot: in 2018 (alone), 2019 (along with Sadio Mane and Pierre-Emerick Aubameyang) and 2022 (along with Son Heung-min).

  13. Pedro Gonzalez Lopez https://pedri.prostoprosport-ar.com better known as Pedri, is a Spanish footballer who plays as an attacking midfielder for Barcelona and the Spanish national team. Bronze medalist of the 2020 European Championship, as well as the best young player of this tournament. Silver medalist at the 2020 Olympic Games in Tokyo. At the age of 18, he was included in the list of 30 football players nominated for the 2021 Ballon d’Or.

  14. Lionel Andres Messi Cuccittini https://lionelmessi.prostoprosport-ar.com is an Argentine footballer, forward and captain of the MLS club Inter Miami, captain of the Argentina national team. World champion, South American champion, Finalissima winner, Olympic champion. Considered one of the best football players of all time.

  15. Anderson Sousa Conceicao better known as Talisca https://talisca.prostoprosport-ar.com is a Brazilian footballer who plays as a midfielder for the An-Nasr club. A graduate of the youth team from Bahia, where he arrived in 2009 ten years ago.

  16. Harry Edward Kane https://harry-kane.prostoprosport-ar.com is an English footballer, forward for the German club Bayern and captain of the England national team. Considered one of the best football players in the world. He is Tottenham Hotspur’s and England’s all-time leading goalscorer, as well as the second most goalscorer in the Premier League. Member of the Order of the British Empire.

  17. Erling Breut Haaland https://erling-haaland.prostoprosport-ar.com is a Norwegian footballer who plays as a forward for the English club Manchester City and the Norwegian national team. English Premier League record holder for goals per season.

  18. самое лучшее интимное средство для гигиены каталог IntiLINE

  19. NGolo Kante https://ngolokante.prostoprosport-ar.com is a French footballer who plays as a defensive midfielder for the Saudi Arabian club Al-Ittihad and the French national team. His debut for the first team took place on May 18, 2012 in a match against Monaco (1:2). In the 2012/13 season, Kante became the main player for Boulogne, which played in Ligue 3.

  20. Ruben Diogo da Silva Neves https://ruben-neves.prostoprosport-ar.com is a Portuguese footballer who plays as a midfielder for the Saudi Arabian club Al-Hilal and the Portuguese national team. Currently, Ruben Neves plays for the Al-Hilal club wearing number 8. His contract with the Saudi club is valid until the end of June 2026.

  21. Kobe Bean Bryant https://kobebryant.prostoprosport-ar.com is an American basketball player who played in the National Basketball Association for twenty seasons for one team, the Los Angeles Lakers. He played as an attacking defender. He was selected in the first round, 13th overall, by the Charlotte Hornets in the 1996 NBA Draft. He won Olympic gold twice as a member of the US national team.

  22. Купити ліхтарики https://bailong-police.com.ua оптом та в роздріб, каталог та прайс-лист, характеристики, відгуки, акції та знижки. Купити ліхтарик онлайн з доставкою. Відмінний вибір ліхтарів: налобні, ручні, тактичні, ультрафіолетові, кемпінгові, карманні за вигідними цінами.

  23. Продажа подземных канализационных ёмкостей https://neseptik.com по выгодным ценам. Ёмкости для канализации подземные объёмом до 200 м3. Металлические накопительные емкости для канализации заказать и купить в Екатеринбурге.

  24. Maria Sharapova https://maria-sharapova.prostoprosport-ar.com Russian tennis player. The former first racket of the world, winner of five Grand Slam singles tournaments from 2004 to 2014, one of ten women in history who has the so-called “career slam”.

  25. Kevin De Bruyne https://kevin-de-bruyne.prostoprosport-ar.com Belgian footballer, midfielder of the Manchester club City” and the Belgian national team. A graduate of the football clubs “Ghent” and “Genk”. In 2008 he began his adult career, making his debut with Genk.

  26. Quincy Anton Promes https://quincy-promes.prostoprosport-br.com Dutch footballer, attacking midfielder and forward for Spartak Moscow . He played for the Dutch national team. He won his first major award in 2017, when Spartak became the champion of Russia.

  27. Roberto Firmino Barbosa de Oliveira https://roberto-firmino.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, attacking midfielder, forward for the Saudi club “Al-Ahli”. Firmino is a graduate of the Brazilian club KRB, from where he moved to Figueirense in 2007. In June 2015 he moved to Liverpool for 41 million euros.

  28. Jack Peter Grealish https://jackgrealish.prostoprosport-br.com English footballer, midfielder of the Manchester City club and the England national team. A graduate of the English club Aston Villa from Birmingham. In the 2012/13 season he won the NextGen Series international tournament, playing for the Aston Villa under-19 team

  29. Son Heung Min https://sonheung-min.prostoprosport-br.com South Korean footballer, striker and captain of the English Premier League club Tottenham Hotspur and the Republic of Korea national team. In 2022 he won the Premier League Golden Boot. Became the first Asian footballer in history to score 100 goals in the Premier League

  30. Karim Mostafa Benzema https://karim-benzema.prostoprosport-fr.com French footballer, striker for the Saudi club Al-Ittihad . He played for the French national team, for which he played 97 matches and scored 37 goals.

  31. Kylian Mbappe Lotten https://kylian-mbappe.prostoprosport-fr.com Footballeur francais, attaquant du Paris Saint-Germain et capitaine de l’equipe de France. Le 1er juillet 2024, il deviendra joueur du club espagnol du Real Madrid.

  32. Mohamed Salah Hamed Mehrez Ghali https://mohamed-salah.prostoprosport-fr.com Footballeur egyptien, attaquant du club anglais de Liverpool et l’equipe nationale egyptienne. Considere comme l’un des meilleurs footballeurs du monde

  33. Declan Rice https://declan-rice.prostoprosport-fr.com Footballeur anglais, milieu defensif du club d’Arsenal et de l’equipe nationale equipe d’Angleterre. Originaire de Kingston upon Thames, Declan Rice s’est entraine a l’academie de football de Chelsea des l’age de sept ans. En 2014, il devient joueur de l’academie de football de West Ham United.

  34. Olivier Jonathan Giroud https://olivier-giroud.prostoprosport-fr.com French footballer, striker for Milan and the French national team. Knight of the Legion of Honor. Participant in four European Championships (2012, 2016, 2020 and 2024) and three World Championships (2014, 2018 and 2022).

  35. Ronaldo de Asis Moreira https://ronaldinhogaucho.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, played as an attacking midfielder and striker. World Champion (2002). Winner of the Golden Ball (2005). The best football player in the world according to FIFA in 2004 and 2005.

  36. Philippe Coutinho Correia https://philippecoutinho.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, midfielder of the English club Aston Villa, playing on loan for the Qatari club Al-Duhail. He is known for his vision, passing, dribbling and long-range ability.

  37. Karim Mostafa Benzema https://karim-benzema.prostoprosport-br.com Futebolista frances, atacante do clube saudita Al-Ittihad . Jogou pela selecao francesa, pela qual disputou 97 partidas e marcou 37 gols.

  38. Luis Alberto Suarez Diaz https://luis-suarez.prostoprosport-br.com Uruguayan footballer, striker for Inter Miami and Uruguay national team. The best scorer in the history of the Uruguay national team. Considered one of the world’s top strikers of the 2010s

  39. Gareth Frank Bale https://garethbale.prostoprosport-br.com Jogador de futebol gales que atuou como ala. Ele jogou na selecao galesa. Ele se destacou pela alta velocidade e um golpe bem colocado. Artilheiro (41 gols) e recordista de partidas disputadas (111) na historia da selecao.

  40. Thibaut Nicolas Marc Courtois https://thhibaut-courtois.prostoprosport-fr.com Footballeur belge, gardien de but du club espagnol du Real Madrid . Lors de la saison 2010/11, il a ete reconnu comme le meilleur gardien de la Pro League belge, ainsi que comme joueur de l’annee pour Genk. Triple vainqueur du Trophee Ricardo Zamora

  41. Robert Lewandowski https://robert-lewandowski.prostoprosport-br.com e um futebolista polones, atacante do clube espanhol Barcelona e capitao da selecao polonesa. Considerado um dos melhores atacantes do mundo. Cavaleiro da Cruz do Comandante da Ordem do Renascimento da Polonia.

  42. Erling Breut Haaland https://erling-haaland.prostoprosport-cz.org je norsky fotbalista, ktery hraje jako utocnik za Anglicky klub Manchester City a norska reprezentace. Rekordman anglicke Premier League v poctu golu za sezonu.

  43. Mohamed Salah https://mohamed-salah.prostoprosport-cz.org je egyptsky fotbalista, ktery hraje jako utocnik za anglictinu. klub Liverpool a egyptsky narodni tym. Povazovan za jednoho z nejlepsich fotbalistu na svete.

  44. Bernardo Silva https://bernardo-silva.prostoprosport-cz.org Portugalsky fotbalista, zaloznik. Narozen 10. srpna 1994 v Lisabonu. Silva je povazovan za jednoho z nejlepsich utocnych zalozniku na svete. Fotbalista je povestny svou vytrvalosti a vykonem.

  45. Luka Modric https://luka-modric.prostoprosport-cz.org je chorvatsky fotbalista, stredni zaloznik a kapitan spanelskeho tymu. klub Real Madrid, kapitan chorvatskeho narodniho tymu. Uznavan jako jeden z nejlepsich zalozniku nasi doby. Rytir Radu prince Branimira. Rekordman chorvatske reprezentace v poctu odehranych zapasu.

  46. Rodrigo Silva de Goiz https://rodrygo.prostoprosport-cz.org Brazilsky fotbalista, utocnik Realu Madrid a brazilskeho narodniho tymu. V breznu 2017 byl Rodrigo povolan do narodniho tymu Brazilie U17 na zapasy Montague Tournament.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *