TUME YA TAIFA YA UMWANGILIAJI IMEJENGA NA KUKARABATI SKIMU 179

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya amesema sekta ya umwagiliaji imeongeza usalama wa chakula kwa kuchangia wastani wa 24 % ya mahitaji yote ya chakula nchini.

Amesema hayo Morogoro wakati wa kikao cha Tume ya Taifa ya umwagiliaji na wahandisi wa umwagiliaji wa mikoa.

Ad

“Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imefanikiwa kujenga na kukarabati skimu 179 za Umwagiliaji,hivyo kuongeza eneo linalomwagiliwa toka hekta 461,000 (2015)hadi hekta 694,715 (2020) na tija imeongezeka toka tani 1.8 – 2.0 hadi 4.0 –5.0 kwa hekta zao la mpunga” amesema Kusaya

Ad

Unaweza kuangalia pia

Uzinduzi wa Jengo Jipya la Makao Makuu ya UCSAF Dodoma: Kuimarisha Mawasiliano Vijijini

25 Aprili 2024, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *