MRADI WA MAJI WA SOMANGA MKOANI LINDI UNATARAJIWA KUKAMILIKA BAADA YA SIKU 50

Mradi wa Maji wa Somanga katika Wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi unatarajiwa kukamilika baada ya siku 50 tayari kuhudumia vijiji vya Somanga Kaskazini na Kusini kwa wananchi zaidi ya 8,000 kwa gharama ya Sh. mil 400 chini ya utekelezaji wa wataalam wa ndani kupitia mpango wa PfR.

Ad

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Angola Mhe. Mhe. João Manuel Gonçalves Lourenço mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Luanda nchini Angola tarehe 08 Aprili, 2025

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *