DKT. KALEMANI AZINDUA REA KITONGOJI KWA KITONGOJI

Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani akizungumza na wananchi Kitongoji cha Migombani,kijiji cha Bukene, Wilaya ya Nzega, Mkoani wa Tabora(hayapo pichani), wakati wa uzinduzi wa mradi wa umeme kwa kila kitongoji nchini uliofanyika, Septemba 24,2020,mkaoni humo.

Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani amezindua rasmi usambazaji wa Umeme katika kila kitongoji nchini ambapo jumla ya vitongoji 64,839 nchini kote vinatarajiwa kuungalishwa na umeme kwa kipindi cha miezi 12 kuanzia sasa.

Uzinduzi rasmi wa usambazaji umeme katika kila Kitongoji umefanyika katika Kitongoji cha Ufuruma Kijiji cha Ufuruma Wilayani Uyui na katika Kitongoji cha Migombani Kijiji cha Bukene Wilayani Nzega mkoani Tabora, Septemba 24, 2020.

Ad

Dkt. Kalemani alisema kuwa mradi huo utagharimu fedha za kitanzania shilingi Bilioni 297.7 na kwamba mradi huo ni endelevu.

Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani(mwenye shati la bluu) akikata utepe kuashiria kwa uzinduzi wa usambazaji umeme katika kila kitongoji nchini uliofanyika katika kitongoji cha migombani,kijiji cha Bukene, wilaya ya Nzega, Mkoani wa Tabora,Septemba 24,2020,(kulia) Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Dkt.Philemon Sengati(kushoto) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati vijiji(REA) Wakili Julius Kalolo.

Akizungumzia sababu ya kuchagua Mkoa wa Tabora kuwa kitovu cha kuzindua mradi huo, Dkt. Kalemani alisema kuwa mkoa huo ni mkubwa ikilinganishwa na mikoa mingine nchini, pia una idadi kubwa ya vitongoji ambavyo bado havijaunganishwa kabisa na umeme.

Katika mkoa huo, Vitongoji 122 vinatajiwa kuunganishiwa umeme na Kampuni ya Ukandarasi ya Sengerema ambayo ndiyo imepewa dhamana ya kutekeleza kazi hiyo katika vijiji hivyo ambapo ameahidi kutekeleza mradi huo ndani ya kipindi cha miezi Tisa, badala ya Miezi 12.

“Naomba tuelewane watanzania, Rais Magufuli na Serikali yake alikwisha toa fedha za kupeleka umeme kwenye vijiji vyote na vitongoji vyote,niwaombe watanzania kwenye masuala ya umeme tulieni umeme unakuja kila kitongoji bila kujali kwamba kimeguswa au laa, sasa ni rasmi kuwa vitongoji vyote vinaletewa umeme ,mnachotakiwa wananchi ni kusuka nyaya katika nyumba zenu na umeme huu haubagui nyumba,” alisisitiza Dkt. Kalemani.

Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Edward Ishengoma, akiwasalimia wananchi wa Kitongaji cha Ufuruma, Kijiji cha Ufuruma,Wilaya ya Uyui,Mkoani Tabora, kwenye uzinduzi wa mradi wa usambazaji umeme kwa kila kitongoji nchini uliofanyika Septemba 24,2020.(kulia) Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu, Raphael Nombo.

Na Zuena Msuya na Hafsa Omar, Tabora

Aidha aliendelea kuwataka wananchi kuendelea kulipia gharama za kuunganishiwa umeme bila kusubiri nguzo kuwafikia kwa kuwa tayari umeme utafika katika kila kitongoji kwa gharama ya shilingi 27,000 tu.

Vilevile alisema kuwa wananchi hawapaswi kuhoji kuhusu nguzo kufika katika maeneo yao kwakuwa hilo si jukumu lao, wanachotakiwa kufanya ni kulipia gharama za kuwashiwa umeme tu, na baada ya kulipia gharama ndipo wahoji endapo hawajawashiwa umeme.

Aliwata REA na TANESCO kushirikiana na serikali za vijiji, wilaya na mikoa kutoa elimu na kuwahamasisha wananchi juu ya umuhimu wa umeme na kuunganishwa.

Hata hivyo aliwaonya baadhi ya wakandarasi wenye tabia ya kuruka nyumba za wateja kuwa hiyo haitakubalika na yeyote atakaye binika kufanya hivyo hatua za kisheria itachukuliwa dhidi yake.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa huo, Dkt. Philemon Sengati aliwaasa wananchi wa mkoa huo kuchangamkia fursa ya umeme kwa kuanzisha viwanda vidogo ili kuinua uchumi wao na taifa kwa jumla.

Aidha amewataka kutunza miundombinu ya mradi huo na kutoa ushirikiano kwa wakandarasi wanaoetekeleza mradi huo na kwamba vijana watakaopata ajira wawe wazalendo na kuzingatia kuwa miradi hiyo ni kwa ajili ya watanzania.

Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.

Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo …

74 Maoni

  1. Hi my family member! I want to say that this article is amazing, great written and include approximately all important infos. I’d like to see more posts like this .

  2. The best site dedicated to the football player Paul Pogba https://pogba.org. Latest news from the world of football.

  3. Gavi’s success story https://barcelona.gavi-fr.com at Barcelona: from his debut at 16 to a key role in club and national team of Spain, his talent inspires the world of football.

  4. Great blog right here! You seem to put a significant amount of material on the site rather quickly.

  5. Kim Kardashian’s https://the-kardashians.kim-kardashian-fr.com incredible success story, from sex scandal to pop culture icon and billion-dollar fortune.

  6. The story of Joe Biden’s https://president-of-the-usa.joe-biden-fr.com triumphant journey, overcoming many obstacles on his path to the White House and becoming the 46th President of the United States.

  7. what language is spoken in montenegro Kotor Montenegro

  8. Discover Rafael Nadal’s https://mls.inter-miami-fr.com impressive rise to the top of world tennis, from his debut to his career Grand Slam victory.

  9. Explore the remarkable journey of Vinicius Junior https://real-madrid.vinicius-junior.net, the Brazilian prodigy who conquered the world’s biggest stage with his dazzling skills and unparalleled ambition at Real Madrid.

  10. Fabrizio Moretti https://the-strokes.fabriziomoretti-br.com the influential drummer of The Strokes, and his unique sound revolutionized the music scene, remaining icons of modern rock.

  11. Achraf Hakimi https://paris-saint-germain.ashrafhakimi.net is a young Moroccan footballer who quickly reached the football elite European in recent years.

  12. The company ELIVERAGroup, is a Retailer, which operates in the Cosmetics industry.

  13. Hey, I simply hopped over to your website by way of StumbleUpon. No longer one thing I’d normally learn, but I preferred your thoughts none the less. Thanks for making one thing worth reading.

  14. My issues have been very similar, with my family. But, we made some different decisions. It’s complex.

  15. Khvicha Kvaratskhelia https://napoli.khvicha-kvaratskhelia-ar.com is a name that in recent years has become a symbol of Georgian football talent and ambition.

  16. лучшее порно онлайн бесплатно новинки https://best-free-porno.ru .

  17. This is an awesome entry. Thank you very much for the supreme post provided! I was looking for this entry for a long time, but I wasn’t able to find a honest source.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *