MRADI WA MAJI WA MKURANGA KUINUA KIWANGO CHA HUDUMA KUTOKA ASILIMIA 17.6 MPAKA 83

Mradi wa Maji wa Mkuranga kuinua kiwango cha huduma ya maji kutoka asilimia 17.6 mpaka 83, kutoka wakazi 4,500 mpaka 25,500 wa vijiji 9 katika Mkoa wa Pwani. Mradi huo wa Sh. bil 5.5 umefikia asilimia 85 na unatarajiwa kukamilika mwezi Disemba, 2020.

Ad

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Angola Mhe. Mhe. João Manuel Gonçalves Lourenço mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Luanda nchini Angola tarehe 08 Aprili, 2025

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *