MRADI WA MAJI WA MKURANGA KUINUA KIWANGO CHA HUDUMA KUTOKA ASILIMIA 17.6 MPAKA 83

Mradi wa Maji wa Mkuranga kuinua kiwango cha huduma ya maji kutoka asilimia 17.6 mpaka 83, kutoka wakazi 4,500 mpaka 25,500 wa vijiji 9 katika Mkoa wa Pwani. Mradi huo wa Sh. bil 5.5 umefikia asilimia 85 na unatarajiwa kukamilika mwezi Disemba, 2020.

Ad

Unaweza kuangalia pia

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA WOMENLIFT HEALTH

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimsikiliza Maelezo kutoka kwa …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *