Maktaba ya Kila Siku: October 16, 2020

MKOA WA RUVUMA WATAJWA KUWA NA HAZINA YA TANI MILIONI 227 ZA MAKAA YA MAWE

Shughuli za utafiti na uchimbaji wa makaa ya mawe katika Mkoa wa Ruvuma zinafanyika katika Wilaya ya Mbinga maeneo ya Mbalawala na Mbuyula, Wilaya ya Songea katika maeneo ya Muhukuru, Njuga na Mtyangimbole na Wilaya ya Nyasa maeneo ya Malini Kata ya Mtipwili na Mbambabay, anaripoti Mwandishi Diramakini. Afisa Madini …

Soma zaidi »