MWENYEKITI WA BODI YA TAASISI YA GWPSA – AFRICA RAIS MSTAAFU DKT. KIKWETE ASHIRIKI KATIKA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MAJI

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Senegal Macky Sall, Ikulu ya Senegal,

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kwa Wadhifa wake wa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayojishughulisha na Masuala ya Maji Barani Afrika (Global Water Partnership – Southern Africa and Africa Coordination Unit – (GWPSA – Africa)) ameshiriki katika Mkutano wa Kimataifa Kuhusu Maji (World Water Forum) Mjini Dakar nchini Senegal.

Akiwa Dakar, Rais Mstaafu amekutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Macky Sall, Rais wa Jamhuri ya Senegal, Ikulu ya Senegal, ambapo wameongelea mikakati mbalimbali ya kuhakikisha kunakuwa na upatikanaji wa maji safi, salama na toshelevu Barani Afrika.

Ad
Ad

Unaweza kuangalia pia

#LIVEDAY2: JUKWAA LA KODI NA UWEKEZAJI 2024

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.