Matokeo ChanyA+

Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+.

WACHIMBAJI WADOGO WATAKIWA KUWA NA SEHEMU YA PAMOJA YA KUCHENJUA DHAHABU ILI KUDHIBITI KUSAMBAA KWA MABAKI YA ZEBAKI

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mwita Waitara amewataka wachimbaji wadogo kuwa na sehemu ya pamoja na kuchenjua dhahabu ili kudhibiti kusambaa kwa mabaki ya zebaki. Waitara alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wachimbaji wadogo kwenye mgodi mdogo wa Blue Leaf …

Soma zaidi »

DKT. NDUGULILE AIPA SIKU 90 SHIRIKA LA POSTA KUBORESHA UTENDAJI NA UFANISI WAKE

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile (wa pili kulia) na Naibu Waziri wake, Mhandisi Kundo A. Mathew (wa kwanza kushoto) wakikagua moja ya kifurushi wakati wa ziara yake kwenye Shirika la Posta Tanzania, Dar es Salaam Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile …

Soma zaidi »

DKT. NDUGULILE AHIMIZA TAASISI ZA SERIKALI KUTUMIA KITUO CHA TAIFA CHA KUHIFADHI DATA KUHIFADHI TAARIFA ZAO

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania, Waziri Kindamba akimshukuru Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile (wa kwanza kulia) kwa kutembelea Kituo cha Taifa cha Kuhifadhi Data, Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Zainab Chaula Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya …

Soma zaidi »

WATUMISHI HOUSING YATAKIWA KUTUMIA ‘FORCE ACCOUNT’ KATIKA MIRADI YA UJENZI WA NYUMBA

Na James Mwanamyoto – Dar es SalaamWatumishi Housing Company imetakiwa kuacha kuendelea kutumia Wakandarasi katika miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba za kuwauzia na kuwapangisha Watumishi wa Umma na badala yake watumie ‘force account’ ili kuokoa gharama na kujenga nyumba ambazo watumishi wataweza kupanga na kuzinunua. Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi …

Soma zaidi »

SERIKALI INATENGENEZA MAZINGIRA MAZURI KWA WAWEKEZAJI – WAITARA

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mwita Waitara amesema Serikali inatengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji wanaofuata sheria. Waitara ametoa kauli hiyo leo Desemba 23, 2020 alipotembelea kiwanda cha Saji Packaging kinachojihusisha na uzalishaji wa vifungashio vya plastiki na kurejeleza taka za plastiki kilichopo Iliemela jijini …

Soma zaidi »