TAKA NGUMU KUBORESHWA KUWA MALI
Viongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wamekutana na wadau mbalimbali wa kudhibiti taka ngumu kwa lengo la kujadili namna ambayo wanaweza kukusanya taka na kuzifanya kuwa shughuli ya biashara na ajira. Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa raisi, mazingira na …
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA BALOZI WA UHOLANZI NA MWAKILISHI WA UNICEF NCHINI
RAIS MAGUFULI ATEKELEZA NDOTO YA BABA WA TAIFA KWA KUZINDUA MJI WA SERIKALI
RAIS DKT. MAGUFULI AMEFUNGUA MAJENGO YA IKULU CHAMWINO
LIVE:HAFLA YA UZINDUZI WA MJI MPYA WA SERIKALI IHUMWA,DODOMA
SERIKALI IMEJIPANGA KUHAKIKISHA MIFUKO MBADALA YA PLASTIKI INAPATIKANA KWA WINGI ILI KUKIDHI MAHITAJI
Serikali imefafanua tamko lake la kupiga marufuku uzalishaji, usambazaji na matumizi ya mifuko ya plastiki hapa nchini. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika Jijini Dodoma na kusisitiza kuwa katazo la Mifuko ya …
Soma zaidi »