Jengo la kuendeshea mitambo na udhibiti midaki (Scanner) kubwa na ya kisasa Afrika ya kukagua mizigo inayopita katika Bandari ya Dar Es Salaam, lilivyoonekana wakati wa ziara Wajumbe wa Kamati ya usimamizi wa Mradi wa uboreshaji wa Taasisi za usimamizi wa Rasilimali Asilia na Ukusanyaji wa Mapato (PSC) unayofadhiliwa na …
Soma zaidi »NENDENI MKAZINGATIE VIAPO VYENU – RAIS MAGUFULI
Rais Dkt. John Magufuli amewataka viongozi waliapishwa kuzingatia viapo vyao katika kufanya kazi zao, Rais amesema hayo wakati akimwapisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Idd Kimanta aliyemteua hivi karibuni, Ikulu jijini Dar Es Salaam. Rais amesema kuwa anasikitishwa kuona watu aliowateua, kuwaapisha na kuwaamini kwa niaba ya watanzania hawafanyi …
Soma zaidi »UJENZI WA DARAJA LA NEW SELANDER WAFIKIA ZAIDI YA ASILIMIA 35
Muonekano wa sasa wa hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa daraja la New Selander ambapo ujenzi wake umefikia zaidi ya % 35.
Soma zaidi »