Waganga, Wakunga na Wananchi wa Mkoa wa Pwani wameipongeza Serikali ya Awamu ya Tano kwa hatua inazozichukua kuboresha huduma za Afya kwa kutoa fedha kwa ajili ya upanuzi wa vituo vya afya na ujenzi wa hospitali za Wilaya mkoani humo. Pongezi hizo zimetolewa na wadau hao wa afya mapema wiki hii, …
Soma zaidi »LIVE;RAIS MAGUFULI KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA
https://youtu.be/ySsErVpp9_E
Soma zaidi »SERIKALI YAZIPIGA JEKI HALMASHAURI 12 KUTEKELEZA MIRADI YA KIMKAKATI YA SHILINGI BILIONI 137
Serikali, kupitia Wizara ya Fedha na Mipango, imezipatia Halmashauri 12 nchini ruzuku ya shilingi bilioni 137 kwa ajili ya kutekeleza Miradi 15 ya kimkakati, yenye lengo kuhakikisha Halmashauri zinaongeza mapato ya ndani na kupunguza utegemezi wa kibajeti kutoka Serikali Kuu. Hafla ya uwekaji wa saini mikataba ya ruzuku hiyo umefanyika …
Soma zaidi »RAIS MAGUFULI ANGARA AFRIKA KWENYE UCHUMI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameendelea kung’ara kimataifa katika mapambano dhidi ya rushwa na utawala bora. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi Jijini Dodoma, wakati akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa masuala mbalimbali …
Soma zaidi »MNA WAJIBU WA KUZUNGUMZIA MAZURI YA TANZANIA – RAIS MAGUFULI
Rais Dkt. John Magufuli amewahakikishia Watanzania wote kuwa Taifa linakwenda katika mwelekeo mzuri hasa baada ya Serikali ya Awamu ya Tano kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha uchumi na huduma za kijamii kama vile afya, elimu, maji, nishati na miundombinu ya usafiri. Mhe. Rais Magufuli amesema hay alipokutana na wananchi katika …
Soma zaidi »LIVE CATCH UP: RAIS DKT. MAGUFULI ATEMBELEA CHANNEL TEN JIJINI DSM
NAIBU WAZIRI NDITIYE AKABIDHI KOMPYUTA SHULE ZA SEKONDARI MPANDA
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye amekabidhi kompyuta 25 kwa shule za sekondari Mpanda mkoani Katavi kwa lengo la kukuza kiwango cha ufaulu na kuongeza matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) shuleni kwa kuwawezesha waalimu kutumia kufundishia na wanafunzi kujifunzia. Amefafanua kuwa lengo ni kupate …
Soma zaidi »WANANCHI WA IGANDO WAANZA KUPATA HUDUMA YA UMEME
Wananchi katika Kijiji cha Igando, wilayani Chato, mkoa wa Geita, wameanza kupata huduma ya umeme kupitia mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini wa Awamu ya Tatu (REAIII) unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani ndiye aliyewasha rasmi umeme katika …
Soma zaidi »WACHIMBAJI WADOGO KUFIKISHIWA UMEME KWENYE MASHIMO YAO
Wachimbaji wadogo mkoani Geita wanatarajiwa kufikishiwa Umeme katika mashimo yao ili kuwawezesha kufanya shughuli zao za uchimbaji kwa ufanisi mkubwa. Hayo yalisemwa na Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani wakati akizungumza katika mkutano wa hadhara kwenye kijiji cha Imwelu kilichopo wilaya ya Chato mkoani Geita. Alisema kuwa Serikali inatambua mchango …
Soma zaidi »UBORESHAJI WA RELI YA KATI KUTOKA DAR – ISAKA WAFIKIA 10%
Uboreshaji wa Reli ya Kati – TIRP kutoka Dar es Salaam hadi Isaka yenye urefu wa kilometa 900 pamoja na uboreshaji wa tuta na kuweka reli mpya zenye uwezo wa kubeba mzigo mkubwa na kwenda kasi zaidi ya kilometa 70 kwa saa ili kuokoa muda na kutoa huduma ya uhakika …
Soma zaidi »