Recent Posts

BODI YAWEKA KUSUDIO KUMFUTIA MKATABA MKANDARASI WA REA

Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeweka kusudio la kufuta mkataba mmojawapo wa mkandarasi anayetekeleza miradi ya umeme vijijini mkoani Mtwara na sehemu ya Mkoa wa Tanga, ambaye ni muunganiko (JV) wa kampuni za Radi Services Ltd, Njarita Contractors Ltd & Aguila Contractors Ltd. Kusudio hilo liliwekwa bayana mbele ya waandishi …

Soma zaidi »

WANANCHI WENGI WAJITOKEZA KUFANYIWA UCHUNGUZI SARATANI YA MATITI

Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa kushirikiana na Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania-MEWATA- imefanya zoezi la uchunguzi wa awali wa saratani ya matiti bila malipo kwa lengo la kuongeza uelewa juu ya ugonjwa huo na kuhamasisha jamii umuhimu wa kujichunguza mapema.  Zoezi la uchunguzi limefanyika kwa siku mbili ambapo kina mama …

Soma zaidi »