Maktaba Kiungo: Afya

HOSPITAL YA TAIFA MUHIMBILI WAANZA ZOEZI LA KUPANDIKIZA VIFAA VYA USIKIVU KWA WATOTO

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH),leo  Novemba 12, 2018 wameanza zoezi upasuaji wa kupandikiza vifaa vya usikivu kwa watoto 10 ambao wana matatizo ya kusikia baada ya kukamilika kwa maandalizi, mwisho zoezi hilo linafanyika hadi  hadi November 16, 2018. Watoto hao watapandikizwa vifaa vya usikivu baada ya wataalam kuwafanyia uchunguzi wa …

Soma zaidi »

RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA MAGARI YA JESHI YATAKAYOSAFIRISHA KOROSHO.

Asisitiza yeye na serikali awamu ya tano, HATINGISHWI! Alitaka Jeshi la Wananchi kuwa tayari kwa oparesheni Korosho kuanzia Jumatatu jioni tarehe 12 Novemba, 2018. Aeleza kuwa serikali ina fedha yote ya kununua korosho yote iliyozalishwa katika msimu wa kilimo. tazama hotuba za utangulizi na hotuba ya Mhe. Rais kabla ya …

Soma zaidi »

HAIWEZEKANI!; NCHI YENYE WATU ZAIDI YA MIL.55 IKOSE WATU 11 WA KUCHEZA MPIRA NA KUSHINDA! – RAIS MAGUFULI

Awaambia Stars Watanzania wamechoka kushuhudia wanafungwa katika kila mashindano. Asisitiza mwenendo wa kushindwa kwa timu za Tanzania katika mashindano ya kimataifa, ni aibu kubwa. Anachukizwa na rushwa pamoja na wizi uliokuwa unafanywa na viongozi wa soka nchini. Awataka viongozi wa mpira wa miguu nchini kuhakikisha wachezaji wa timu ya Taifa …

Soma zaidi »