HAIWEZEKANI!; NCHI YENYE WATU ZAIDI YA MIL.55 IKOSE WATU 11 WA KUCHEZA MPIRA NA KUSHINDA! – RAIS MAGUFULI

  • Awaambia Stars Watanzania wamechoka kushuhudia wanafungwa katika kila mashindano.
  • Asisitiza mwenendo wa kushindwa kwa timu za Tanzania katika mashindano ya kimataifa, ni aibu kubwa.
  • Anachukizwa na rushwa pamoja na wizi uliokuwa unafanywa na viongozi wa soka nchini.
  • Awataka viongozi wa mpira wa miguu nchini kuhakikisha wachezaji wa timu ya Taifa wanauzalendo na kulipigania Taifa.
  • Awataka Taifa Stars kuwa waadilifu wenye malengo ya kuiletea heshima nchi yetu.
  • Atoa mchango wa Tsh. Mil. 50
  • Awaagiza wizara na TFF kuwa pesa hizo zitawa ‘cost’ kama timu ya Taifa ikishindwa kufuzu fainali za Mashindano ya Mataifa ya Afrika yanayofanyika mwakani huko nchini Cameron.

 

https://soundcloud.com/user-105000585/rais-magufuli-akutana-na-taifa-stars-ikulu

Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI UMMY AWATAKA WAZAZI KUWEKEZA KATIKA AFYA ZA WATOTO

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amewataka wazazi kuwekeza …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *