Muonekano wa eneo linaloandaliwa kujenga njia ya reli kwa ajili ya kusafirisha mizigo inayoingia na kutoka bandari kavu, Kwala mkoani Pwani wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye (hayupo pichani) ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi huo.
UJENZI WA BANDARI KAVU, KWALA VIGWAZA: NAIBU WAZIRI NDITIYE AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI
Matokeo ChanyA+
October 19, 2018
Tanzania MpyA+
2,026 Imeonekana