UJENZI WA MGODI WA MFANO LWAMGASA UMEKAMILIKA KWA 80%

MGODI WA MFANO GEITA
Hadi kufikia Septemba, 2018 kazi ya Ujenzi wa Mgodi wa Mfano Lwamgasa na usimikaji wa mitambo ya uchenjuaji imekamilila kwa asilimia 80 Mkoani Geita.

Lengo la mgodi huo ni kutoa elimu kwa wachimbaji wadogo kuhusu uchimbaji sahihi  na uchenjuaji bora wa madini ya  dhahabu.

Ad

Mgodi wa Mfano wa Lwamgasa ambao umejengwa mahsusi kupitia Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali Madini (SMMRP) unaosimamiwa na Wizara ya Nishati nchini.

Mgodi wa Mfano wa Lwamgasa unajengwa na Serikali,Mgodi wa Almasi Mwadui na Migodi ya Busolwa Mining Ltd na Nsangano Gold Mine.

MGODI WA MFANO

MGODI WA MAFUNZO

 

Ad

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Angola Mhe. Mhe. João Manuel Gonçalves Lourenço mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Luanda nchini Angola tarehe 08 Aprili, 2025

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *