Leo tarehe 30/10/2018 tumeanza kutumia chumba Kipya cha upasuaji kwaajili ya watoto wenye vichwa vikubwa na Mgongo wazi , idadi ya vyumba vya upasuaji MOI inaongezeka na kufikia 9. Idadi ya watoto wanaofanyiwa upasuaji inatarajiwa kuongezeka kutoka 6-8 hadi 20-25 kwa wiki.

TAASISI YA MIFUPA (MOI) IMEANZA KUTUMIA CHUMBA KIPYA CHA UPASUAJI

TAASISI YA MIFUPA MOI
Tarehe 30/10/2018 Taasisi ya Mifupa (MOI) imeanza  kutumia chumba Kipya cha upasuaji kwaajili ya watoto wenye vichwa vikubwa na Mgongo wazi , idadi ya vyumba vya upasuaji MOI imeongezeka na kufikia 9. Huku idadi ya watoto wanaofanyiwa upasuaji inatarajiwa kuongezeka kutoka sita mpaka nane hadi kufikia 20-25 kwa wiki.
Ad

Unaweza kuangalia pia

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa uwezo wa nchi kuzalisha umeme umefikia megawati 3,169.20. Kati ya kiwango hicho, megawati 3,091.7 zimeunganishwa kwenye Gridi ya Taifa, ikiwa ni sawa na asilimia 97.55 ya umeme wote unaozalishwa nchini

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANESCO, mafanikio haya yanatokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa na …

Oni moja

  1. God Bless Little ones and the Team of Doctors and All concerned party including government of URT for initiating such a facility to benefit all humankind .

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *