Leo tarehe 30/10/2018 tumeanza kutumia chumba Kipya cha upasuaji kwaajili ya watoto wenye vichwa vikubwa na Mgongo wazi , idadi ya vyumba vya upasuaji MOI inaongezeka na kufikia 9. Idadi ya watoto wanaofanyiwa upasuaji inatarajiwa kuongezeka kutoka 6-8 hadi 20-25 kwa wiki.
TAASISI YA MIFUPA (MOI) IMEANZA KUTUMIA CHUMBA KIPYA CHA UPASUAJI
Tarehe 30/10/2018 Taasisi ya Mifupa (MOI) imeanza kutumia chumba Kipya cha upasuaji kwaajili ya watoto wenye vichwa vikubwa na Mgongo wazi , idadi ya vyumba vya upasuaji MOI imeongezeka na kufikia 9. Huku idadi ya watoto wanaofanyiwa upasuaji inatarajiwa kuongezeka kutoka sita mpaka nane hadi kufikia 20-25 kwa wiki.
God Bless Little ones and the Team of Doctors and All concerned party including government of URT for initiating such a facility to benefit all humankind .
God Bless Little ones and the Team of Doctors and All concerned party including government of URT for initiating such a facility to benefit all humankind .