RAIS MSTAAFU JK ASHIRIKI MKUTANO WA MASUALA YA ELIMU AFRIKA (FEF2018).

RAIS MSTAAFU KIKWETE
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akizungumza katika mkutano wa Viongozi wastaafu wa Afrika kujadili Elimu Barani Afrika,uliofanyika Johannesburg Afrika Kusini. Mkutano huo uliandaliwa na kituo cha Viongozi wa Afrika ulikuwa na wajumbe kutoka sekta binafsi kujadili mchango wao kwenye elimu
PICHA YA PAMOJA
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa na baadhi ya wajumbe walioshiriki mkutano wa Viongozi wastaafu wa Afrika kujadili Elimu Barani Afrika,uliofanyika Johannesburg Afrika Kusini. Mkutano huo uliandaliwa na kituo cha Viongozi wa Afrika ulikuwa na wajumbe kutoka sekta binafsi kujadili mchango wao kwenye elimu
RAIS MSTAAFU KATIKA MAHOJIANO
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akifanyiwa mahojiano na shirika la habari la CNN mara baada ya kumaliza kushiriki katika mkutano wa Viongozi wastaafu wa Afrika kujadili Elimu Barani Afrika,uliofanyika Johannesburg Afrika Kusini. Mkutano huo uliandaliwa na kituo cha Viongozi wa Afrika ulikuwa na wajumbe kutoka sekta binafsi kujadili mchango wao kwenye elimu

SISI NI TANZANIA MPYA - 92

PICHA YA MKUTANO
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete wa pili kulia, akiwa na wajumbe wengine katika mkutano wa Viongozi wastaafu wa Afrika kujadili Elimu Barani Afrika,uliofanyika Johannesburg Afrika Kusini. Mkutano huo uliandaliwa na kituo cha Viongozi wa Afrika ulikuwa na wajumbe kutoka sekta binafsi kujadili mchango wao kwenye elimu 
Ad

Unaweza kuangalia pia

Mitazamo ya Uongozi ya Mhe. Ummy Ally Mwalimu katika Sekta za Afya, Maendeleo ya Jamii, na Haki za Watoto

Ummy Ally Mwalimu ameonyesha mitazamo ya uongozi yenye mwelekeo wa kujali maendeleo na ustawi katika …

Oni moja

  1. Congratulation honourable J.K,,I a preciate your movement and Tanzanians expect great from you although your are out of ground!! God bless you!!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *