Maktaba ya Mwezi: December 2018

video:DC KATAMBI; Kila Familia mjini Dodoma ni lazima ipande miti mitatu.

• Zoezi linaanza baada ya tango la Mhe. Dc Katambi • Kila familia itakayopanda miti hiyo itawajibika kuiyunza wakati wote • Ukaguzi wa mara kwa mara kufanyika kukagua miti iliyopandwa nyumba kwa nyumba. Fuatilia agizo la Mhe. Katambi kwa kubofya link hii 👇🏽 https://youtu.be/YWZK6g-Ro9Y

Soma zaidi »

Rangi ya njano inawakilisha madini yote, sio dhahabu pekee yake – Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amefuta mara moja maelekezo ya barua yenye kumbukumbu namba CHA.56/193/02/16 ya tarehe 23 Novemba, 2018 iliyoandikwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (Baada ya kupokea maelekezo ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) kwenda kwa Wakuu …

Soma zaidi »

Nishati ya umeme itasaidia ukuaji wa uchumi wa viwanda – Naibu Waziri Sima

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima amezitaka nchi zilizoendelea kutimiza wajibu wao wa kutoa michango ya fedha na kuwezesha upatikanaji wa teknolojia za kisasa kwa nchi zinazoendelea kwa ajili ya kutekeleza miradi ya kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi kwa mujibu wa …

Soma zaidi »

Ni vigumu ukishasifiwa maeneo mengine yote halafu ukakuta eneo unalolisimamia usisifiwe – Rais Magufuli

Nukuu za Rais Dkt. John Magufuli katika Kikao kilichowakutanisha viongozi Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), Wakuu wa Mikoa, Mawaziri na Makatibu Wakuu wa baadhi ya Wizara. “Na saa nyingine huwa ni vigumu ukishasifiwa maeneo mengine yote halafu ukakuta eneo unalolisimamia usisifiwe, huwa linavunja moyo. Lakini ni vyema niwaeleze ukweli na nitatoa …

Soma zaidi »

LIVE; RAIS MAGUFULI NA WAZIRI MKUU WA MISRI WASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA MRADI WA KUFUA UMEME WA STIEGLER’S GORGE

Serikali na Kampuni ya Arab Constructors ya Misri leo zitatia saini mkataba wa ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa Stiegler’s Gorge, utakaozalisha megawatts 2100. Kwa mujibu wa Rais Magufuli, mradi huo utagharimu zaidi ya TZS 6.5tril. Waziri Mkuu wa Misri atahudhuria hafla hiyo. Fuatilia kwa kubofya link hii;   …

Soma zaidi »