MKUTANO WA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KUFANYIKA NCHINI CHINA KUANZIA 19-26 JUNE 2019.

TC 2-01TC 3-01

  • Ubalozi wa Tanzania nchini China kwa kushirikiana na Bodi ya Utalii nchini (TTB) umeandaa mikutano ya kutangaza utalii kuanzia tarehe 19-26 June 2019.Mikutano hiyo itafanyika katika miji ya Beijing(19th),Shanghai (21st) Nanjing (24th) na Changsha(26th) na kuhudhuriwa na tour operators, travel agents na media kutoka Tanzania na China.

  • Wadau wa utalii watakaopenda kushiriki kutokea Tanzania wanaombwa kuwasiliana na TTB – **@ta*************.tz, +255 782 318 324. Wadau waliopo China wanaweza kuwasiliana na Ubalozi kupitia barua pepe: be*****@nj*.tz/ +86 180 1013 3523
Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI ZUNGU AHUDHURIA MKUTANO WA 7 WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MALIASILI WA JUMUIA YA AFRIKA MASHARIKI

             

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *