UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. PANGANI II KUMALIZIKA HIVI KARIBUNI

MJ
Ukarabati wa kivuko cha MV. Pangani II unatarajiwa kumalizika hivi karibuni. Kivuko hicho kinatarajiwa kuanza kutoa huduma katika mto Pangani kati ya Pangani na Bweni Wilaya ya Pangani mkoani Tanga.
MJ
Ukarabati wa kivuko cha MV. Pangani II unatarajiwa kumalizika hivi karibuni. Kivuko hicho kinatarajiwa kuanza kutoa huduma katika mto Pangani kati ya Pangani na Bweni Wilaya ya Pangani mkoani Tanga.
Ad

Unaweza kuangalia pia

SERIKALI INATARAJIA KUJENGA MINARA 5 YA MAWASILIANO WILAYANI MAFIA

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mh. Injinia Atashasta Nditiye (Mb.) amezindua mnara wa Mawasiliano …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *