NAIBU WAZIRI AWESO AZINDUA MRADI WA MAJI MWIKA KUSINI UTAKAOHUDUMIA WAKAZI ZAIDI YA 19,000

MJ 1-01
Tanki la maji
MJ 2-01
Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) akikagua tanki la maji 
MJ 3-01
Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) azindua Mradi wa Maji wa Mwika Kusini katika Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro utakaohudumia wakazi zaidi ya 19,000 katika vijiji vya Matala, Kondeni na Mawanjeni utakaogharimu kiasi cha Shilingi milioni 726.
Ad

Unaweza kuangalia pia

HOSPITALI YA MAWENZI YAWAFANYIA UPASUAJI WA JICHO WAGONJWA 640

Kufuatia maboresho mbalimbali katika Sekta ya Afya hapa Nchini Hospitali ya Rufaa ya Mawenzi ya …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *