Maktaba Kiungo: MKOA WA KILIMANJARO

BILIONI 8 KUJENGA MAABARA YA KISASA YA UCHUNGUZI MAGONJWA AMBUKIZI HOSPITALI YA KIBONGO’OTO

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kutumia kiasi cha shilingi Bilioni Nane (8) kwa ajili ya ujenzi wa Maabara kubwa na ya kisasa ya uchunguzi wa magonjwa ambukizi ikiwemo ya Kifua Kikuu katika Hospitali maalum ya Magonjwa ya kuambukiza Kibong’oto, mkoani hapa. Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa …

Soma zaidi »

KINU CHA KUFUA HEWA KCMC KUWA MSAADA KWA WENYE MATATIZO YA UZAZI

Imeelezwa kuwa uwepo wa kinu kipya na cha kisasa chenye uwezo wa kufua hewa ikiwemo hewa safi ya Oxygen na ile ya Naitrojeni kitakuwa msaada kwa wenye tatizo la uzazi nchini. Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya kaskazini (KCMC) imesema kuwa, wananchi watapata msaada huo kwani watakuwa na uwezo wa …

Soma zaidi »

HOSPITALI YA MAWENZI YAWAFANYIA UPASUAJI WA JICHO WAGONJWA 640

Kufuatia maboresho mbalimbali katika Sekta ya Afya hapa Nchini Hospitali ya Rufaa ya Mawenzi ya Mkoa wa Kilimanjaro imeweza kufanya upasuaji wa kuondoa ukungu wa jicho kwa wagonjwa 640. Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na Timu ya Maafisa Habari wa Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto …

Soma zaidi »