MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA ASHIRIKI KWENYE MIAKA 25 YA CHUO KIKUU HURIA

11-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasssan, akizungumza na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Mhe. Mizengo Kayanda Peter Pinda Wakati wa kilele cha Maadhimisho ya kutimia Miaka 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika leo Sept 24,2019 Kinondoni Jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye maadhimisho hayo.
22-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasssan, akizungumza na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Mhe. Mizengo Kayanda Peter Pinda Wakati wa kilele cha Maadhimisho ya kutimia Miaka 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika leo Sept 24,2019 Kinondoni Jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye maadhimisho hayo.
33-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasssan, akiangalia Vitabu vya kumbukumbu ya Utafiti wa aina mbalimbali kwenye maonesho ya kilele cha Maadhimisho ya kutimia Miaka 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika leo Sept 24,2019 Kinondoni Jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye maadhimisho hayo.
55-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasssan, akipata maelezo kutoka kwa Sebastian Sambuo Mushi, kuhusu Utaalamu na Biashara ya Mchele kwenye maonesho ya kilele cha Maadhimisho ya kutimia Miaka 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika leo Sept 24,2019 Kinondoni Jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye maadhimisho hayo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

 

77-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasssan, akihutubia kwenye kilele cha Maadhimisho ya kutimia Miaka 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika leo Sept 24,2019 Kinondoni Jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye maadhimisho hayo.
88-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasssan, akizungumza na wanafunzi wa shule ya Sekondari Kinondoni baada ya kuhutubia kilele cha Maadhimisho ya kutimia Miaka 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika leo Sept 24,2019 Kinondoni Jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye maadhimisho hayo.
Ad

Unaweza kuangalia pia

SERIKALI KUENDELEA KUCHUKUA HATUA KWA WAZALISHAJI NA WASAMBAZAJI WA MIFUKO ISIYOKIDHI VIWANGO – WAZIRI ZUNGU

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *