Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, amekagua makazi mapya ya Askari Mkoani Shinyanga, akiwa na Mkurugenzi wa Kitengo Cha Kushughulikia Malalamiko, Albert Nyamuhanga pamoja na Maofisa wa Polisi na Magereza kutoka katika Mkoa huo.Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, amekagua makazi mapya ya Askari Mkoani Shinyanga, akiwa na Mkurugenzi wa Kitengo Cha Kushughulikia Malalamiko, Albert Nyamuhanga pamoja na Maofisa wa Polisi na Magereza kutoka katika Mkoa huo.