TTCL NA BACKBONE SYSTEM YA BURUNDI WASAINI MKATABA WA MIAKA 10 WENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 13.8
Matokeo ChanyA+
October 22, 2019
Taarifa Vyombo vya Habari , Taarifa ya Habari , Tanzania MpyA+ , TTCL
936 Imeonekana
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano ya Mkongo wa Taifa Burundi (BBS) Ir. Elie Ntihagowumwe wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa wa TTCL jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano ya Mkongo wa Taifa Burundi (BBS) Ir. Elie Ntihagowumwe wakionyesha mkataba waliosaini wa miaka 10 wenye thamani ya Shilingi bilioni 13.8 wa kuwaongezea uwezo Burundi katika sekta ya mawasiliano jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba akimpa zawadi kutoka Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano ya Mkongo wa Taifa Burundi (BBS) Ir. Elie Ntihagowumwe jijini Dar es salaam
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesaini mkataba wa miaka 10 wenye thamani ya shilingi bilioni 13.8 na Kampuni ya Mawasiliano ya Mkongo wa Taifa Burundi (BBS) kwa ajili ya kupeleka huduma ya internet nchini Burundi
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba akimpa zawadi kutoka Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano ya Mkongo wa Taifa Burundi (BBS) Ir. Elie Ntihagowumwe jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba akipokea zawadi kutoka Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano ya Mkongo wa Taifa Burundi (BBS) Ir. Elie Ntihagowumwe jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano ya Mkongo wa Taifa Burundi (BBS) Ir. Elie Ntihagowumwe wa kushoto wakisaini mkataba wa miaka 10 wenye thamani ya Shilingi bilioni 13.8 wa kuwaongezea uwezo Burundi katika sekta ya mawasiliano hii leo jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano ya Mkongo wa Taifa Burundi (BBS) Ir. Elie Ntihagowumwe wa kushoto akibadilishana mkataba na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano ya Mkongo wa Taifa Burundi (BBS) Ir. Elie Ntihagowumwe wa kushoto akizungumza wakati wa kutiliana sana na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Jim Yonaz na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano ya Mkongo wa Taifa Burundi (BBS) Ir. Elie Ntihagowumwe wa kushoto akizungumza wakati wa kutiliana saina na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Jim Yonaz
Ad