NAIBU WAZIRI MGALU: TANESCO NA REA, MSIACHE KIJIJI HATUTARUDI NYUMA

  • Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amelitaka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijiji (REA) kuhakikisha hawaruki kijiji katika REA Awamu ya Tatu mzunguko wa Pili unaoanza mapema mwezi Januari 2020 kwa kuwa awamu hii ni ya mwisho kuunganisha Vijiji.
2-01
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, akizungumza na wakazi wa Kijijizi cha Migude, Kata ya Kiromo, wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, alipofika kuwasha umeme katika kijiji hicho.
  • Mgalu alisema hayo, Desemba 8, 2019 wakati akiwasha umeme katika Kijiji cha Migude, Kata ya Kiromo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
  • Mgalu alifafanua kuwa katika utekelezaji wa REA Awamu ya Tatu mzunguko wa Pili ni wa mwisho katika kusambaza umeme vijijini, miradi itakayofuata ni kusambaza umeme katika Vitongoji, hivyo REA na TANESCO wahakikishe wanashirikisha Serikali za Mitaa ili kuorodhesha vijiji vyote kwa umakini na usahihi ili viweze kupatiwa umeme ifikapo  Mwezi, June 2021.
4-01
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu( pili kushoto) akikata utepe kuashiria kuwasha umeme katika Kijiji cha Migude, Kata ya Kiromo, wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, alipofika kuwasha umeme katika kijiji hicho.
  • Alieleza kuwa huenda Tanzania inaongoza  kwa kuwa ya nchi ya kwanza kwa  nchi za Afrika Mashariki katika kusambaza umeme vijijini, ambapo  mpaka sasa ina vijiji 8115, vilivyounganishwa na umeme kati ya vijiji  12,000,  vijiji 4000 vilivyosalia  kazi ya kusambaza umeme na kuwaungaishia wateja inaendelea ili kufikia  Mwezi Juni 2020 vijiji 10336 viwe  vimeunganishiwa umeme na kubakiwa na  vijiji  1,200 ambavyo hivi vitaendelea kuunganishiwa  umeme  hadi kufia mwezi June 2021, vijiji vyote nchini vitakuwa vimeunganishwa na umeme.
  • “TANESCO na REA, hakikisheni hamuachi kijiji, hii ni awamu ya mwisho kwa mradi wa REA mzunguko wa tatu, “Hii ndiyo Baba lao”, hatutarudi nyuma tena kuunganisha vijijini, miradi itakayokuja sasa itakuwa ni maalum kwa ajili ya vitongoji, hivyo basi mshirikishe serikali za mitaa kuhakikisha hakuna kinachoachwa nyuma na bei ya kuunganishiwa umeme ni shilingi 27,000, na ni marufuku kuwauzia wateja Nguzo wala LUKU”  alisisitiza Mgalu.
5-01
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu,(kushoto) akimtwika ndoo ya maji mmoja wa akina Mama wa Kijiji cha Migude, Kata ya Kiromo, wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, katoka katika kisima cha maji kinachotumia umeme wa REA baada ya Naibu Waziri kuwasha umeme katika kijiji hicho.
  • Aidha aliipongeza Bodi ya Wakurugenzi ya REA, kwa kukubali na kuridhia maombi ya nyongeza ya Kaya  5000, ambazo zilizomba kuunganishiwa umeme na zoezi hilo likafanyika kwa Mkoa wa pwani,hivyo alitaka utaratibu huo uendelee kwa maeneo mengine nchini  kwa kuwa miradi hiyo imetumia gharama kubwa katika kuitekeleza na lengo ni kuwafikia wananchi wote.
  • Sambasamba na hilo aliitaka TANESCO kuangalia namna bora nzuri ya kuwawezesha wateja kulipia gharama za kuunganisha umeme katika majumba yao, ikiwezekana kuwakopesha na baadaye walipie kupitia LUKU au Ankara zao au kuwawekea utaratibu wa kulipia kidogo kidogo ili kila mmoja aweze kuunganishwa na umeme.
7-01
Mbunge wa Bagamoyo. Dkt. Shukuru Kawambwa akizungumza na wakazi wa Kijiji cha Migude, Kata ya Kiromo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
  • Aliwaeleza kuwa TANESCO wasikatae fedha pale mteja anapotaka kulipa kwa awamu, isipokuwa waweke utaratibu mzuri wa walipo hayo kwa lengo la kumsadia mteja yule ambaye hawezi kuzilipa zote kwa mara moja ili aunganishiwe umeme.
  • Alirudia kusema utaratibu wa bei ya shilingi elfu 27,000 uliotolewa na Rais kwa miradi ya TANESCO inalenga wateja walio vijijini ambapo kuna miradi ya REA,lakini agizo hilo haliwahusu wateja waliopo kwenye Manispaa na Majiji katika miradi ya TANESCO inayoendela kutekelezwa  kwa sababu TANESCO inatakiwa ijiendesha kutokana na mapato yake.
6-01
Moja ya kisima cha maji kilichounganishwa na umeme wa mradi wa REA katika Kijiji cha Migude, Kata ya Kiromo, wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu aliwasha umeme katika kijiji hicho.
  • Hata hivyo alisema kuwa  kwa sasa serikali inapokea maoni yanayotaka gharama ya shilingi 27,000 iwe nchi nzima, maoni hayo yatafanyiwa utafiti kwa kina na kuona namna bora ya kupunguza bei ya kuwaunganishia umeme wateja  waliopo katika  Manispaa na Miji ili kila mmoja aweze kupata huduma hiyo kwa gharama anayoweza kuimudu.
3-01
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu( pili kushoto) akitoa zawadi ya mifuko ya saruji kwa viongozi wa serikali za mitaa kusaidia ujenzi wa shule ya msingi katika kijiji hicho na sehemu ya kusherehekea miaka 58 ya Uhuru wa Tanganyika na miaka 57 ya Jamhuri.
  •  Katika hatua nyingine, Mgalu alitumia fursa hiyo kugawa mifuko 50 ya saruji isaidie ujenzi wa shule za msingi katika kijiji hicho ikiwa kusherehekea miaka 58 ya Uhuru wa Tanganyika na miaka 57 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  • Mifuko hiyo ya saruji aliikabidhi kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa wa Ki
  • jiji cha Migude Kata ya Kiromo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani na baadaye kutembelea shule zenye uhitaji mkubwa  vifaa na miundombinu. Na Zuena Msuya ,Pwani
Ad

Unaweza kuangalia pia

TPDC YAOKOA TRILIONI 12.7 KUAGIZA MAFUTA NJE YA NCHI

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) katika kipindi cha miaka minne ya Uongozi wa …

154 Maoni

  1. The legendary boxing world champion Mike Tyson https://ufc.mike-tyson-fr.biz made an unexpected transition to the UFC in 2024, where he rose to the top, becoming the oldest heavyweight champion.

  2. Kim Kardashian’s https://the-kardashians.kim-kardashian-fr.com incredible success story, from sex scandal to pop culture icon and billion-dollar fortune.

  3. The story of Joe Biden’s https://president-of-the-usa.joe-biden-fr.com triumphant journey, overcoming many obstacles on his path to the White House and becoming the 46th President of the United States.

  4. Olympique de Marseille https://liga1.marseilles-fr.com after several years in the shadows, once again becomes champion of France. How did they do it and what prospects open up for the club

  5. A fascinating story about how Elon Musk https://spacex.elon-musk-fr.com and his company SpaceX revolutionized space exploration, opening new horizons for humanity.

  6. Explore the rich history and unrivaled atmosphere of the iconic Old Trafford Stadium https://old-trafford.manchester-united-fr.com, home of one of the world’s most decorated football clubs, Manchester United.

  7. The iconic Anfield https://enfield.liverpool-fr.com stadium and the passionate Liverpool fans are an integral part of English football culture.

  8. The new Premier League https://premier-league.chelsea-fr.com season has gotten off to an intriguing start, with a new-look Chelsea looking to return to the Champions League, but serious challenges lie ahead.

  9. Inter Miami FC https://mls.inter-miami-fr.com has become a major player in MLS thanks to its star roster, economic growth and international influence.

  10. The story of Kanye West https://the-college-dropout.kanye-west-fr.com, starting with his debut album “The College Dropout,” which changed hip-hop and became his cultural legacy.

  11. Cristiano Ronaldo https://al-nassr.cristianoronaldo-br.net one of the greatest football players of all time, begins a new chapter in his career by joining An Nasr Club.

  12. The story of Luka Modric’s rise https://real-madrid.lukamodric-br.com from young talent to one of the greatest midfielders of his generation and a key player for the Royals.

  13. From academy product to captain and leader of Real Madrid https://real-madrid.ikercasillas-br.com Casillas became one of the greatest players in the history of Real Madrid.

  14. The fascinating story of Sergio Ramos’ https://seville.sergioramos.net rise from Sevilla graduate to one of Real Madrid and Spain’s greatest defenders.

  15. Ousmane Dembele’s https://paris-saint-germain.ousmanedembele-br.com rise from promising talent to key player for French football giants Paris Saint-Germain. An exciting success story.

  16. The incredible success story of 20-year-old Florian Wirtz https://bayer-04.florianwirtz-br.com, who quickly joined the Bayer team and became one of the best young talents in the world.

  17. The compelling story of Alisson Becker’s https://bayer-04.florianwirtz-br.com meteoric rise from young talent to key figure in Liverpool’s triumphant era under Jurgen Klopp.

  18. Kobe Bryant https://los-angeles-lakers.kobebryant-br.net one of the greatest basketball players of all the times, left an indelible mark on the history of sport.

  19. Bieber’s https://baby.justinbieber-br.com path to global fame began with his breakthrough success Baby, which became his signature song and one of the most popular music videos of all time.

  20. Ayrton Senna https://mclaren.ayrtonsenna-br.com is one of the greatest drivers in the history of Formula 1.

  21. In the world of professional tennis, the name of Gustavo Kuerten https://roland-garros.gustavokuerten.com is closely linked to one of the most prestigious Grand Slam tournaments – Roland Garros.

  22. Anderson Silva https://killer-bees-muay-thai-college.andersonsilva.net was born in 1975 in Curitiba Brazil. From a young age he showed an interest in martial arts, starting to train in karate at the age of 5.

  23. Bruno Miguel Borges Fernandes https://manchester-united.brunofernandes-br.com was born on September 8, 1994 in Maia, Portugal.

  24. Nuno Mendes https://paris-saint-germain.nuno-mendes.com, a talented Portuguese left-back, He quickly became one of the key figures in the Paris Saint-Germain (PSG) team.

  25. Rodrygo Silva de Goes https://real-madrid.rodrygo-br.com, known simply as Rodrygo, emerged as one of the the brightest young talents in world football.

  26. Vinicius Junior https://real-madrid.vinicius-junior-ar.com the Brazilian prodigy whose full name is Vinicius Jose Baixao de Oliveira Junior, has managed to win the hearts of millions of fans around the world in a short period of time.

  27. Pedro Gonzalez Lopez https://barcelona.pedri-ar.com known as Pedri, was born on November 25, 2002 in the small town of Tegeste, located on Tenerife, one of the Canary Islands.

  28. Andreson Souza Conceicao https://al-nassr.talisca-ar.com known as Talisca, is one of the brightest stars of modern football.

  29. Yacine Bounou https://al-hilal.yassine-bounou-ar.com known simply as Bono, is one of the most prominent Moroccan footballers of our time.

  30. Mohamed Salah https://liverpool.mohamedsalah-ar.com an Egyptian footballer, rose to fame through his outstanding performances at Liverpool Football Club.

  31. Brazilian footballer Neymar https://al-hilal.neymar-ar.com known for his unique playing style and outstanding achievements in world football, has made a surprise move to Al Hilal Football Club.

  32. Football in Saudi Arabia https://al-hilal.ali-al-bulaihi-ar.com has long been one of the main sports, attracting millions of fans. In recent years, one of the brightest stars in Saudi football has been Ali Al-Bulaihi, defender of Al-Hilal Football Club.

  33. Kobe Bryant https://los-angeles-lakers.kobebryant-ar.com also known as the “Black Mamba”, is one of the most iconic and iconic figures in NBA history.

  34. In 2018, the basketball world witnessed one of the most remarkable transformations in NBA history. LeBron James https://los-angeles-lakers.lebronjames-ar.com one of the greatest players of our time, decided to leave his hometown Cleveland Cavaliers and join the Los Angeles Lakers.

  35. Muhammad Al Owais https://al-hilal.mohammed-alowais-ar.com is one of the most prominent names in modern Saudi football. His path to success in Al Hilal team became an example for many young athletes.

  36. Roberto Firmino https://al-ahli.roberto-firmino-ar.com one of the most talented and famous Brazilian footballers of our time, has paved his way to success in different leagues and teams.

  37. Казахский национальный технический университет https://satbayev.university им. К.Сатпаева

  38. Kylie Jenner https://kylie-cosmetics.kylie-jenner-ar.com is an American model, media personality, and businesswoman, born on August 10, 1997 in Los Angeles, California.

  39. Sadio Mane https://al-nassr.sadio-mane-ar.com the Senegalese footballer best known for his performances at clubs such as Southampton and Liverpool, has become a prominent figure in Al Nassr.

  40. Monica Bellucci https://dracula.monica-bellucci-ar.com one of the most famous Italian actresses of our time, has a distinguished artistic career spanning many decades. Her talent, charisma, and stunning beauty made her an icon of world cinema.

  41. Brazilian footballer Malcom https://al-hilal.malcom-ar.com (full name Malcom Felipe Silva de Oliveira) achieved great success in Al Hilal, one of the leading football teams in Saudi Arabia and the entire Middle East.

  42. Zinedine Zidane https://real-madrid.zinedine-zidane-ar.com the legendary French footballer, entered the annals of football history as a player and coach.

  43. Juventus Football Club https://italy.juventus-ar.com is one of the most successful and decorated clubs in the history of Italian and world football.

  44. Chelsea https://england.chelsea-ar.com is one of the most successful English football clubs of our time.

  45. Автомобили Hongqi https://hongqi-krasnoyarsk.ru в наличии – официальный дилер Hongqi Красноярск

  46. When Taylor Swift https://shake-it-off.taylor-swift-ar.com released “Shake It Off” in 2014, she had no idea how much the song would impact her life and music career.

  47. Liverpool https://england.liverpool-ar.com holds a special place in the history of football in England.

  48. Jennifer Lopez https://lets-get-loud.jenniferlopez-ar.com was born in 1969 in the Bronx, New York, to parents who were Puerto Rican immigrants.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *