Wanachama wa Tanzania Tour Operators Association (TATO) wakutana Jijini Arusha kupanga mikakati ya kuvutia watalii kutoka China. Mkutano huo umehudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini China Mbelwa Kairuki na Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Nchini(TTB) Jaji Thomas Mihayo na Mkurugenzi wa TTB Bi Devotha Mdachi