SHIRIKA LA IFC LATAKIWA KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KATIKA UCHAMBUZI WA MAZINGIRA YA SEKTA BINAFSI

  • Serikali ya Tanzania imeiomba Benki ya Dunia kupitia Shirika lake la Fedha (IFC), kufanya kazi ya uchambuzi wa kitaalamu wa mazingira ya Sekta Binafsi nchini kwa kushirikiana na Serikali ili kuweza kufanyia kazi kikamilifu taarifa za uchambuzi huo kwa manufaa ya Taifa.
  • Hayo yamebainishwa jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, alipokutana na kufanya mazungumzo na Meneja wa Shirika la Kimataifa la IFC, Bw. Manuel Moses, anaeziwakilisha nchi za Afrika Mashariki, Somalia na Malawi.
A-01
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kushoto), akieleza umuhimu wa Serikali kushiriki kikamilifu katika uchambuzi wa mazingira ya Sekta binafsi kwa manufaa ya wananchi, wakati wa Mkutano na Meneja wa Shirika la Kimataifa la IFC, Bw. Manuel Moses, anaeziwakilisha nchi za Afrika Mashariki, Somalia na Malawi (kulia), jijini Dodoma.
  • Dkt. Mpango alisema kuwa msimamo wa Serikali ni kuwa kazi ya uchambuzi wa changamoto za mazingira ya Sekta Binafsi ifanyike kwa ushirikiano kati ya Serikali na IFC ili taarifa ya matokeo ya uchambuzi huo iweze kufanyiwa kazi kikamilifu badala ya taarifa hiyo kuachwa bila kufanyiwa kazi kutokana na ushirikishwaji hafifu kutoka katika taasisi hiyo.
  • “Tunataka kufanyia kazi taarifa ambayo tumeshiriki kuiandaa na tutakuwa tunatekeleza jambo letu sisi wenyewe”, alieleza Dkt. Mpango.
D-01
Wajumbe wa Mkutano kati ya Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Meneja wa Shirika la Kimataifa la IFC, Bw. Manuel Moses, anaeziwakilisha nchi za Afrika Mashariki, Somalia na Malawi (hawapo pichani), wakifuatilia kwa makini maelezo ya fursa zilizopo katika Shirika la IFC, katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dodoma.
  • Dkt. Mpango amelitaka Shirika hilo lijielekeze katika misaada ya kitaalam na fedha ili kukuza Sekta Binafsi kwa kuendana na vipaumbele vya Serikali ya Awamu ya Tano hususan upande wa kilimo bila kuiacha nyuma Sekta ya viwanda kwa kuangalia namna wadau wa Sekta Binafsi wanavyoweza kupata utaalam kutoka IFC.
  • Aidha alibainisha kuwa Tanzania imewahi kufanya kazi za uchambuzi na Serikali ya Marekani mwaka 2011 wakati wa kupitia utekelezaji wa dira ya maendeleo na kuandaa mipango ya nchi, pia kuna mpango wa kuangalia mazingira ya biashara pamoja na jarida lenye hatua mbalimbali ambazo zilikubaliwa na Sekta Binafsi katika kukuza sekta hiyo na kutoa ajira kwa wananchi.
B-01
Meneja wa Shirika la Kimataifa la IFC, Bw. Manuel Moses, anaeziwakilisha nchi za Afrika Mashariki, Somalia na Malawi (kulia), akieleza fursa zilizopo katika Shirika lake ikiwemo mikopo, wakati wa mkutano na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (hayupo pichani), katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dodoma.
  • “Kazi yoyote lazima izingatie mipango ya Serikali katika kuendelea kuboresha mazingira ya kukua kwa Sekta Binafsi, kufanya biashara na kuwekeza”, aliongeza Dkt. Mpango.
  • Dkt. Mpango alisema kuwa wamejadili pia kuhusu uwezekano wa IFC kutoa hati fungani ambayo kwa sasa inalipwa kwa dola iweze kutolewa kwa Shilingi ya Tanzania.  Hata hivyo alibainisha kuwa bado jambo hilo linahitaji uchambuzi wa kitaalamu kwa kuwa hati fungani haiwezi kutolewa bila nchi kufanya tathmini huru na makampuni ya kimataifa kuhusu nguvu yake ya kuweza kukopa kwenye masoko kama hayo.
  • Alisema kuwa hadi mwishoni mwa mwezi huu majibu yatatatolewa baada ya wataalamu kuchakata na kupata majibu ya kuendelea na jambo hilo au kulisitisha.
E-01
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa nne kushoto), akipeana mkono na Meneja wa Shirika la Kimataifa la IFC, Bw. Manuel Moses, anaeziwakilisha nchi za Afrika Mashariki, Somalia na Malawi (wa tatu kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi wa wajumbe wa mkutano huo kutoka Tanzania na Shirika la IFC. (Picha na Peter Haule, WFM, Dodoma)
  • Kwa upande mwingine Serikali ya Tanzania imeiomba Benki ya Dunia kupitia Shirika hilo la IFC, kufuata Sheria za nchi inapotoa misaada ikiwemo ya Sekta Binafsi ili kujiridhisha iwapo misaada hiyo inamanufaa kwa taifa.
  • Aliyasema hayo baada ya kuwepo kwa misaada iliyotolewa kwa Sekta Binafsi na Shirika hilo ambayo haikufuata utaratibu wa utoaji misaada unaotumika nchini kwa mujibu wa sheria zilizowekwa.
  • Dkt. Mpango alisema kuwa kwa mujibu wa Sheria za nchi maombi yote ya misaada nchini ni lazima yapite kwenye kamati ya kitaalamu ya kuishauri Serikali kuhusu madeni na baadae kamati ya kitaifa ambayo itatoa ushauri kwa Waziri wa Fedha ili aweze kusema sawa, iwapo msaada huo unamanufaa kwa maendeleo ya taifa.
  • Kwa upande wake Meneja wa Shirika la Kimataifa la IFC, Bw. Manuel Moses, alikubali kufanyia kazi ushauri wa Dkt. Mpango na pia alisema kuwa wamefanya mazungumzo na Serikali ili kusaidia kuboresha zaidi mazingira ya Sekta Binafsi ili iweze kuajiri watu wengi zaidi na kulipa kodi katika juhudi za kukuza uchumi wa nchi husika.
  • Shirika la IFC lipo chini ya Benki ya Dunia kwa ajili ya kusaidia nchi zinazoendelea kama Tanzania kuendeleza Sekta Binafsi pamoja na kutoa mikopo na misaada mbalimbali ambapo kwa sasa wameelekeza mikopo mingi kwenye Sekta ya Benki ambayo hutoa mikopo kwa kampuni ndogo na kubwa hapa nchini. Na. Peter Haule na Saidina Msangi, WFM, Dodoma
Ad

Unaweza kuangalia pia

SEKTA YA AFYA NCHINI KUNUFAIKA NA MSAADA WA DOLA ZA MAREKANI MILIONI 600 KUTOKA GLOBAL FUND

Serikali ya Tanzania itanufaika na msaada wa dola za Marekani milioni 600 zitakazotolewa na Taasisi …

344 Maoni

  1. Открытие для себя Ерлинг Хааланда https://manchestercity.erling-haaland-cz.com, a talented player of «Manchester City». Learn more about his skills, achievements and career growth.

  2. The path of 21-year-old Jude Bellingham https://realmadrid.jude-bellingham-cz.com from young talent to one of the most promising players in the world, reaching new heights with Dortmund and England.

  3. French prodigy Kylian Mbappe https://realmadrid.kylian-mbappe-cz.com is taking football by storm, joining his main target, ” Real.” New titles and records are expected.

  4. Harry Kane’s journey https://bavaria.harry-kane-cz.com from Tottenham’s leading striker to Bayern’s leader and Champions League champion – this is the story of a triumphant ascent to the football Olympus.

  5. Изготовим для Вас изделия из металла https://smith-moskva.blogspot.com, по вашим чертежам или по нашим эскизам.

  6. Промышленные насосы https://superomsk.ru/news/137099/pogrujne_nasos/ Wilo предлагают широкий ассортимент решений для различных отраслей промышленности, включая водоснабжение, отопление, вентиляцию, кондиционирование и многие другие. Благодаря своей высокой производительности и эффективности, насосы Wilo помогают снизить расходы на энергию и обслуживание, что делает их идеальным выбором для вашего бизнеса.

  7. https://rolaks.com отделочные материалы для фасада – интернет-магазин

  8. Mohamed Salah https://liverpool.mohamed-salah-cz.com, who grew up in a small town in Egypt, conquered Europe and became Liverpool star and one of the best players in the world.

  9. Полезные советы и пошаговые инструкции по строительству https://syndyk.by, ремонту и дизайну домов и квартир, выбору материалов, монтажу и установке своими руками.

  10. The inspiring story of how talented Kevin De Bruyne https://manchestercity.kevin-de-bruyne-cz.com became the best player of Manchester City and the Belgium national team. From humble origins to the leader of a top club.

  11. Lionel Messi https://intermiami.lionel-messi-cz.com, one of the best football players of all time, moves to Inter Miami” and changes the face of North American football.

  12. Bernardo Mota Veiga de Carvalho e Silva https://manchestercity.bernardo-silva-cz.com Portuguese footballer, club midfielder Manchester City and the Portuguese national team.

  13. Antoine Griezmann https://atlticomadrid-dhb.antoine-griezmann-cz.com Atletico Madrid star whose talent and decisive goals helped the club reach the top of La Liga and the UEFA Champions League.

  14. The story of Robert Lewandowski https://barcelona.robert-lewandowski-cz.com, his impressive journey from Poland to Barcelona, ??where he became not only a leader on the field, but also a source of inspiration for young players.

  15. Son Heung-min’s https://tottenhamhotspur.son-heung-min-cz.com success story at Tottenham Hotspur and his influence on the South Korean football, youth inspiration and changing the perception of Asian players.

  16. We explore the path of Luka Modric https://realmadrid.luka-modric-cz.com to Real Madrid, from a difficult adaptation to legendary Champions League triumphs and personal awards.

  17. The impact of the arrival of Cristiano Ronaldo https://annasr.cristiano-ronaldo-cz.com at Al-Nasr. From sporting triumphs to cultural changes in Saudi football.

  18. A study of the influence of Rodrigo https://realmadrid.rodrygo-cz.com on the success and marketing strategy of Real Madrid: analysis of technical skills, popularity in Media and commercial success.

  19. Find out how Pedro Gavi https://barcelona.gavi-cz.com helped Barcelona achieve success thanks to his unique qualities, technique and leadership, becoming a key player in the team.

  20. Find out about Alisson https://liverpool.alisson-becker-cz.com‘s influence on Liverpool’s success, from his defense to personal achievements that made him one of the best goalkeepers in the world.

  21. How Karim Benzema https://alIttihad.karim-benzema-cz.com changed the game of Al-Ittihad and Saudi football: new tactics, championship success, increased viewership and commercial success.

  22. r7 casino официальный сайт https://mabiclub.ru

  23. Thibaut Courtois https://realmadrid.thibaut-courtois-cz.com the indispensable goalkeeper of “Real”, whose reliability, leadership and outstanding The game made him a key figure in the club.

  24. Find out how Virgil van Dijk https://liverpool.virgil-van-dijk-cz.com became an integral part of style игры «Liverpool», ensuring the stability and success of the team.

  25. Find out how Bruno Guimaraes https://newcastleunited.bruno-guimaraes-cz.com became a catalyst for the success of Newcastle United thanks to his technical abilities and leadership on the field and beyond.

  26. Study of the playing style of Toni Kroos https://real-madrid.toni-kroos-cz.com at Real Madrid: his accurate passing, tactical flexibility and influence on the team’s success.

  27. The young Uruguayan Darwin Nunez https://liverpool.darwin-nunez-cz.com broke into the elite of world football, and he became a key Liverpool player.

  28. Star Brazilian striker Gabriel Jesus https://arsenal.gabriel-jesus-cz.com put in a superb performance to lead Arsenal to new heights after moving from Manchester City.

  29. A fascinating story about how David Alaba https://realmadrid.david-alaba-cz.com after starting his career at the Austrian academy Vienna became a key player and leader of the legendary Real Madrid.

  30. The story of how the incredibly talented footballer Riyad Mahrez https://alahli.riyad-mahrez-cz.com reached new heights in career, moving to Al Ahly and leading the team to victory.

  31. The fascinating story of Antonio Rudiger’s transfer https://real-madrid.antonio-rudiger-cz.com to Real Madrid and his rapid rise as a key player at one of the best clubs in the world.

  32. The fascinating story of Marcus Rashford’s ascent https://manchester-united.marcus-rashford-cz.com to glory in the Red Devils: from a young talent to one of the key players of the team.

  33. Tobey Maguire’s Ascent Study https://spider-man.tobey-maguire.cz to the superstar through his iconic image of Spider-Man in the cult trilogy.

  34. Try to make a fascinating actor Johnny Depp https://secret-window.johnny-depp.cz, who will become the slave of his strong hero Moudriho Creeps in the thriller “Secret Window”.

  35. Fascinating event related to this Keanu Reeves helped him in the role of the iconic John Wick characters https://john-wick.keanu-reeves.cz, among which there is another talent who has combat smarts with inappropriate charisma.

  36. Jackie Chan https://peakhour.jackie-chan.cz from a poor boy from Hong Kong to a world famous Hollywood stuntman. The incredible success story of Jackie Chan.

  37. Follow Liam Neeson’s career https://hostage.liam-neeson.cz as he fulfills his potential as Brian Mills in the film “Taken” and becomes one of the leading stars of Hollywood action films.

  38. Emily Olivia Laura Blunt https://oppenheimer.emily-blunt.cz British and American actress. Winner of the Golden Globe (2007) and Screen Actors Guild (2019) awards.

  39. The inspiring story of Zendaya’s rise https://spider-man.zendaya-maree.cz, from her early roles to her blockbuster debut in Marvel Cinematic Universe.

  40. The inspiring story of the ascent of the young actress Anya Taylor https://queensmove.anya-taylor-joy.cz to fame after her breakthrough performance in the TV series “The Queen’s Move”. Conquering new peaks.

  41. An indomitable spirit, incredible skills and five championships – how Kobe Bryant https://losangeles-lakers.kobe-bryant.cz became an icon of the Los Angeles Lakers and the entire NBA world.

  42. Carlos Vemola https://oktagon-mma.karlos-vemola.cz Czech professional mixed martial artist, former bodybuilder, wrestler and member Sokol.

  43. Witness the thrilling story of Jiri Prochazka’s https://ufc.jiri-prochazka-ufc.cz rapid rise to the top of the UFC’s light heavyweight division, marked by his dynamic fighting style and relentless determination.

  44. Jon Jones https://ufc.jon-jones.cz a dominant fighter with unrivaled skill, technique and physique who has conquered the light heavyweight division.

  45. An article about the triumphant 2023 Ferrari https://ferrari.charles-leclerc.cz and their star driver Charles Leclerc, who became the Formula world champion 1.

  46. Young Briton Lando Norris https://mclaren.lando-norris.cz is at the heart of McLaren’s Formula 1 renaissance, regularly achieving podium finishes and winning.

  47. The legendary Spanish racer Fernando Alonso https://formula-1.fernando-alonso.cz returns to Formula 1 after several years.

  48. Free movies https://www.moviesjoy.cc and TV streaming online, watch movies online in HD 1080p.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *