WAZIRI BITEKO: MAKUSANYO SEKTA MADINI YAONGEZEKA KUTOKA BILIONI 39/- HADI BILIONI 58/- KWA MWEZI APRILI

Nuru Mwasampeta na Tito Mselem, Dodoma

Waziri wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji wa Sekta ya Madini unakua kwa kasi na kuifanya kuwa sekta ya kwanza kwa ukuaji kwa mwaka 2019 ikifuatiwa na sekta ya ujenzi.

Ad

Ukuaji wa Sekta ya Madini umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018 wakati Sekta ya Ujenzi imekuwa kwa asilimia 14.1.

Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa Shilingi bilioni 39 kwa mwezi lakini kwa mwezi Aprili makusanyo hayo yamepaa na kufikia kiasi cha shilingi bilioni 58 jambo ambalo linaonesha mafanikio makubwa ya kisekta.

Waziri wa Madini, Doto Biteko

Hata hivyo, Waziri Biteko ametaka ukuaji huo wa Sekta ya Madini usaidie katika kukuza sekta nyingine za kiuchumi na hapo ndipo manufaa ya sekta ya madini yatakuwa na manufaa zaidi.  

Waziri Biteko amebainisha hayo leo Mei 18, 2020 alipokuwa akifungua warsha ya maandalizi ya kitabu cha viashiria hatarishi (Risk register) cha wizara inayofanyika kwa siku tano katika ukumbi wa Chuo cha Madini Dodoma (MRI) na baadaye kuja na kitabu hicho kama matokeo ya warsha hiyo.

Biteko ameongeza kuwa, wizara inapoendelea kutekeleza majukumu yake, yumkini kuna viashiria hatarishi ambavyo endapo havitadhibitiwa vitakwamisha juhudi za wizara kufikia malengo, hivyo wizara imeamua kuandaa kitabu kitakachosaidia kubaini viashiria hivyo na kuvifanyia kazi ili kuyafikia malengo iliyojiwekea.

Akizungumza na washiriki wa warsha hiyo, Biteko amewataka wajumbe kubaini viashiria hatarishi vinavyoikabili wizara, kubuni mikakati madhubuti ya kudhibiti viashiria hivyo na kuandaa daftari la viashiria hatarishi la wizara kwa muda wa siku tano watakazokuwepo katika warsha hiyo.

Amesema, kwa kufanya hivyo, uhakika wa wizara pamoja na wadau wake wa malengo mkakati ya wizara kufikiwa utakuwa mkubwa kwani viashiria hatarishi vitakuwa vimepangiwa mikakati ya kuidhibiti kabla ya kutokea na kukwamisha juhudi za wizara.

Biteko amesema, maandalizi ya kitabu cha viashiria hatarishi ni utekelezaji wa maelekezo yaliyotolewa katika Waraka wa Hazina namba 12 wa mwaka 2013 ukielekeza taasisi zote za umma zikiwemo wizara kuwa na mfumo thabiti wa kudhibiti viashiria hatarishi (Risk Management) na kuandaa daftari la viashiria hatarishi (Risk register)

Ameendelea kusema suala la udhibiti na usimamizi wa viashiria hatarishi ilianzishwa mwaka 2010 kupitia Sheria ya Fedha ya mwaka 2010 iliyofanyiwa marekebisho kati sura 348 ya Sheria ya Fedha za Umma ya mwaka 2001.

Waziri Biteko amesema usimamizi wa viashiria hatarishi kwenye taasisi za umma ni takwa la kisheria ambapo chimbuko lake ni marekebisho katika sura ya 348 ya Sheria ya Fedha za umma ya mwaka 2001 yaliyofanyika mwaka 2010 na hivyo kuanzishwa kwa Idara ya Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali ambapo moja ya majukumu yake ni kusimamia mifumo ya udhibiti wa viashiria hatarishi vya malengo katika taasisi za umma.

Aidha, Waziri Biteko amewataka watendaji wa wizara kuendelea kuwakumbusha wachimbaji  na wafanyabiashara wa madini kuendelea kufuata sheria na taratibu zinazosimamia Sekta ya Madini ili iendelee kuzalisha kwa faida.

Kwa upande wake, Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila amewataka washiriki wote kufuatilia kwa umakini mafunzo hayo ili kuvitambua viatarishi na kuviepuka kabla havijawa tatizo.

Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.

Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo …

129 Maoni

  1. The incredible success story of 20-year-old Florian Wirtz https://bayer-04.florianwirtz-br.com, who quickly joined the Bayer team and became one of the best young talents in the world.

  2. The incredible story https://napoli.khvichakvaratskhelia-br.com of a young Georgian talent’s transformation into an Italian Serie A star. Khvicha Kvaraeshvili is a rising phenomenon in European football.

  3. In-depth articles about the most famous football players https://zenit-saint-petersburg.wendel-br.com, clubs and events. Learn everything about tactics, rules of the game and football history.

  4. In the world of professional tennis, the name of Gustavo Kuerten https://roland-garros.gustavokuerten.com is closely linked to one of the most prestigious Grand Slam tournaments – Roland Garros.

  5. Anderson Silva https://killer-bees-muay-thai-college.andersonsilva.net was born in 1975 in Curitiba Brazil. From a young age he showed an interest in martial arts, starting to train in karate at the age of 5.

  6. Earvin “Magic” Johnson https://los-angeles-lakers.magicjohnson.biz is one of the most legendary basketball players in history. NBA history.

  7. Vinicius Junior https://real-madrid.vinicius-junior-ar.com the Brazilian prodigy whose full name is Vinicius Jose Baixao de Oliveira Junior, has managed to win the hearts of millions of fans around the world in a short period of time.

  8. Victor Osimhen https://napoli.victorosimhen-ar.com born on December 29, 1998 in Lagos, Nigeria, has grown from an initially humble player to one of the brightest strikers in modern football.

  9. Football in Saudi Arabia https://al-hilal.ali-al-bulaihi-ar.com has long been one of the main sports, attracting millions of fans. In recent years, one of the brightest stars in Saudi football has been Ali Al-Bulaihi, defender of Al-Hilal Football Club.

  10. Сайт https://ps-likers.ru предлагает уроки по фотошоп для начинающих. На страницах сайта можно найти пошаговые руководства по анимации, созданию графики для сайтов, дизайну, работе с текстом и фотографиями, а также различные эффекты.

  11. Kobe Bryant https://los-angeles-lakers.kobebryant-ar.com also known as the “Black Mamba”, is one of the most iconic and iconic figures in NBA history.

  12. In 2018, the basketball world witnessed one of the most remarkable transformations in NBA history. LeBron James https://los-angeles-lakers.lebronjames-ar.com one of the greatest players of our time, decided to leave his hometown Cleveland Cavaliers and join the Los Angeles Lakers.

  13. Luis Diaz https://liverpool.luis-diaz-ar.com is a young Colombian striker who has enjoyed rapid growth since joining the ” Liverpool” in January 2022.

  14. Muhammad Al Owais https://al-hilal.mohammed-alowais-ar.com is one of the most prominent names in modern Saudi football. His path to success in Al Hilal team became an example for many young athletes.

  15. Maria Sharapova https://tennis.maria-sharapova-ar.com was born on April 19, 1987 in Nyagan, Russia. When Masha was 7 years old, her family moved to Florida, where she started playing tennis.

  16. Roberto Firmino https://al-ahli.roberto-firmino-ar.com one of the most talented and famous Brazilian footballers of our time, has paved his way to success in different leagues and teams.

  17. Upcoming fantasy MOBA https://bladesofthevoid.com evolved by Web3. Gacha perks, AI and crafting in one swirling solution!

  18. Sadio Mane https://al-nassr.sadio-mane-ar.com the Senegalese footballer best known for his performances at clubs such as Southampton and Liverpool, has become a prominent figure in Al Nassr.

  19. Monica Bellucci https://dracula.monica-bellucci-ar.com one of the most famous Italian actresses of our time, has a distinguished artistic career spanning many decades. Her talent, charisma, and stunning beauty made her an icon of world cinema.

  20. Jackie Chan https://karate-kid.jackiechan-ar.com was born in 1954 in Hong Kong under the name Chan Kong San.

  21. Travis Scott https://astroworld.travis-scott-ar.com is one of the brightest stars in the modern hip-hop industry.

  22. Juventus Football Club https://italy.juventus-ar.com is one of the most successful and decorated clubs in the history of Italian and world football.

  23. Автомобили Hongqi https://hongqi-krasnoyarsk.ru в наличии – официальный дилер Hongqi Красноярск

  24. When Taylor Swift https://shake-it-off.taylor-swift-ar.com released “Shake It Off” in 2014, she had no idea how much the song would impact her life and music career.

  25. After some difficult years in the late 2010s, Manchester United https://england.manchester-united-ar.com returned to greatness in English football by 2024.

  26. Michael Jordan https://chicago-bulls.michael-jordan-ar.com is one of the greatest basketball players of all time, whose career with the Chicago Bulls is legendary.

  27. Manny Pacquiao https://filipino-boxer.manny-pacquiao-ar.com is one of the most prominent boxers in the history of the sport.

  28. The golf https://arabic.golfclub-ar.com industry in the Arab world is growing rapidly, attracting players from all over the world.

  29. The Italian football championship https://italian-championship.serie-a-ar.com known as Serie A, has seen an impressive revival in recent years.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *