SERIKALI YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 32.9 KUTOKA AIRTEL

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James (wa kwanza kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa Kampuni ya Airtel Tanzania Bi. Beatrice Singano akifafanua jambo baada ya Kampuni hiyo kutoa gawio na michango ya maendeleo kwa Serikali yenye thamani ya shilingi bilioni 32.99. Kuanzia kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania Bw. George Mathen, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Airtel Bw. Gabriel Malata na wa tatu kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha na Mipango Benny Mwaipaja, katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma.

Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania Plc, imeilipa Serikali ya Tanzania, shilingi 32.9 bilion kama gawio na mchango maalum wa maendeleo baada ya kupata faida katika Mwaka wa Fedha 2019/20.

Mfano wa Hundi mbili za fedha hizo Fedha hizo ziliwasilishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Airtel Tanzania Plc, Bw. Gabriel Malata na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango ambaye pia ndiye mlipaji Mkuu wa Serikali, Bw. Doto James, Jijini Dodoma.

Ad
Katibu Mkuu wizara ya Fedha na Mipamngo Bw. Doto James akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Bw. George Mathen akifafanua jambo baada ya Kampuni yake kuipatia Serikali gawio na michango ya maendeleo ikiwa na thamani ya shilingi bilioni 32.99 wakati wa hafla iliyofanyika jijini Dodoma.

Akikadidhi hundi hiyo, Bw. Malata alisema katika kiwango hicho cha shilingi bilioni 32.99, shilingi bilioni 18.99 ni gawio na shilingi bilioni 14 ni mchango maalum wa maendeleo kwa Serikali baada ya Kampuni hiyo kupata faida ya bilioni 38.5 kwa mwaka unaoishia Disemba 2019/2020.

Akielezea mafanikio yaliyosababisha Kampuni yake kutoa gawio nono na michango ya maendeleo ya shilingi bilioni 1 kila mwezi, Bw. Gabriel Malata alisema licha ya uwekezaji mzuri katika upanuzi wa mtandao, idadi ya wateja imeongezeka kutoka milioni 11.4 Machi 2019 mpaka 13.3 milioni Machi 2020 na kwa sasa umiliki wa soko ni asilimia 27 kwa taarifa ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Airtel Tanzania, Bw. Gabriel Malata, akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi gawio na michango ya maendeleo kwa Serikali, Jijini Dodoma. Serikali inamiliki asilimia 49 ya hisa katika Kampuni hiyo na Kampuni ya Bharti Airtel inamiliki asilimia 51.

Aliongeza kuwa Airtel Tanzania Plc imetoa ajira za moja kwa moja zaidi ya 500 huku wanafanyakazi wa kigeni wakiwa saba tu na kupitia kampuni hiyo, Watanzania 350,000 wamejiajiri kwa kuuza huduma za kampuni ya Airtel Tanzania Plc kama vile kuuza vocha, mawakala wa Airtel Money hivyo kuchangia maendeleo ya uchumi kwa kulipa ushuru kwa Serikali

Na kwa kuunga mkono maendeleo ya serikali kama elimu na afya, Airtel pia imetoa  2.3 bilioni kwenye ujenzi wa Hosptili mkoani Dodoma na kwa kushirikiana na Mamlaka ya Elimu Tanzania (VETA) kuzindua elimu kwa mtandao kupitia applikesheni ya VSOMO ambapo  wanafunzi zaidi ya 500 wamehitimu.

Akizungumza katika hafla hiyo Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James alisema tukio hilo la Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel kutoa gawio na mchango wa maendeleo wa shilingi bilioni 32.99 ni la kihistoria baada ya Serikali na Kampuni hiyo kuingia makubaliano maalumu ya kiutendaji na kiumiliki yaliyofanyika mwaka 2019.

Meza Kuu ikiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Wizara hiyo baada ya Serikali kupokea gawio na michango ya maendeleo yenye thamani ya Sh. bilioni 32.99 kutoka Kampuni ya Airtel Tanzania jijini Dodoma.

Na. Farida Ramadhani, WFM, Dodoma

“Baada ya majadiliano makali nay a muda mrefu, hatimaye Kampuni ya Bharti Airtel ilikubali kuongeza hisa za Serikali kutoka asilimia 40 hadi asilimia 49 na Bartel imebakiwa na asilimia 51” alifafanua Bw. James.

Aliipongeza Kampuni ya Airetl Tanzania kwa kutoa kiasi hicho kikubwa cha gawio cha cha shilingi bilioni 18.99 na kiasi kingine cha shilingi bilioni 14 zinazotokana na mchango wa Kampuni hiyo kwa Serikali ambapo inatoa shilingi bilioni 1 kila mwezi kuanzia mwaka jana na itakuwa ikifanya hivyo katika kipindi cha miaka mitano ambapo jumla ya shilingi bilioni 60 zinatarajiwa kupatikana.

Bw. James alizitaka Kampuni na Mashirika ambayo Serikali inamiliki hisa kuiga mfano wa Kampuni ya Airtel ili fedha zinazopatikana zichangie shughuli mbalimbali za maendeleo ya nchi ikiwemo kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo, kuboresha huduma za jamii kama vile afya, elimu na maji kwa Watanzania wote.

 “Mashirika ya Umma na Kampuni ambazo bado zinatoa gawio dogo na zile ambazo hazitoi gawio, zinatakiwa kujitathmini na kuhakikisha zinafanya vizuri na kulipa gawio ili kuiwezesha Serikali kutekeleza majukumu yake ipasavyo”, alisisitiza Bw. James

Naye Msajili wa Hazina, Bw. Athumani Mbuttuka alisema ofisi yake imeendelea kuweka mikakati madhubuti kuhakikisha Taasisi, Mashirika ya Umma na kampuni ambazo Serikali ina hisa zinaendeshwa kwa tija na zinaendelea kutoa gawio endelevu kwa Serikali.

Awali, Msajili wa Hazina, Bw. Athumani Mbuttuka aliipongeza Airtel Tanzania Plc kwa gawio na mchango wake wa maendeleo na kuitaka kuendelea kudhibiti matumizi na kuimarisha teknolojia katika utoaji wa huduma.

Aliahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa kampuni zote ambazo Serikali ni mwanahisa na kwamba wasiridhike na gawio walilotia bali mwakani watoe kiwango kikubwa zaidi kwa maendeleo ya nchi.

Alisema zaidi ya ufanisi wa kimapato, ofisi ya msajili inaendelea kufanya marekebisho katika mashirika na taasisi zilizo chini yake ili kuimarisha ukusanyaji wa mapato.

Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.

Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo …

134 Maoni

  1. Хотите научиться готовить самые изысканные и сложные торты? В этом https://v1.skladchik.org/tags/tort/ разделе вы найдете множество подробных пошаговых рецептов самых трендовых и известных тортов с возможностью получить их за сущие копейки благодаря складчине. Готовьте с удовольствием и открывайте для себя новые рецепты вместе с Skladchik.org

  2. O meio-campista Rafael Veiga leva https://palmeiras.raphaelveiga-br.com o Palmeiras ao sucesso – o campeonato brasileiro e a vitoria na Copa Libertadores aos 24 anos.

  3. In-depth articles about the most famous football players https://zenit-saint-petersburg.wendel-br.com, clubs and events. Learn everything about tactics, rules of the game and football history.

  4. Kobe Bryant https://los-angeles-lakers.kobebryant-br.net one of the greatest basketball players of all the times, left an indelible mark on the history of sport.

  5. Ayrton Senna https://mclaren.ayrtonsenna-br.com is one of the greatest drivers in the history of Formula 1.

  6. Anderson Silva https://killer-bees-muay-thai-college.andersonsilva.net was born in 1975 in Curitiba Brazil. From a young age he showed an interest in martial arts, starting to train in karate at the age of 5.

  7. Victor Osimhen https://napoli.victorosimhen-ar.com born on December 29, 1998 in Lagos, Nigeria, has grown from an initially humble player to one of the brightest strikers in modern football.

  8. Toni Kroos https://real-madrid.tonikroos-ar.com the German midfielder known for his accurate passes and calmness on the field, has achieved remarkable success at one of the most prestigious football clubs in the world.

  9. Pedro Gonzalez Lopez https://barcelona.pedri-ar.com known as Pedri, was born on November 25, 2002 in the small town of Tegeste, located on Tenerife, one of the Canary Islands.

  10. Erling Haaland https://manchester-city.erling-haaland-ar.com born on July 21, 2000 in Leeds, England, began his football journey at an early age.

  11. Сайт https://ps-likers.ru предлагает уроки по фотошоп для начинающих. На страницах сайта можно найти пошаговые руководства по анимации, созданию графики для сайтов, дизайну, работе с текстом и фотографиями, а также различные эффекты.

  12. N’Golo Kante https://al-ittihad.ngolokante-ar.com the French midfielder whose career has embodied perseverance, hard work and skill, has continued his path to success at Al-Ittihad Football Club, based in Saudi Arabia.

  13. In 2018, the basketball world witnessed one of the most remarkable transformations in NBA history. LeBron James https://los-angeles-lakers.lebronjames-ar.com one of the greatest players of our time, decided to leave his hometown Cleveland Cavaliers and join the Los Angeles Lakers.

  14. Luis Diaz https://liverpool.luis-diaz-ar.com is a young Colombian striker who has enjoyed rapid growth since joining the ” Liverpool” in January 2022.

  15. Kevin De Bruyne https://manchester-city.kevin-de-bruyne-ar.com is a name every football fan knows today.

  16. Maria Sharapova https://tennis.maria-sharapova-ar.com was born on April 19, 1987 in Nyagan, Russia. When Masha was 7 years old, her family moved to Florida, where she started playing tennis.

  17. Roberto Firmino https://al-ahli.roberto-firmino-ar.com one of the most talented and famous Brazilian footballers of our time, has paved his way to success in different leagues and teams.

  18. Angel Di Maria https://benfica.angel-di-maria-ar.com is a name that will forever remain in the memories of Benfica fans.

  19. Казахский национальный технический университет https://satbayev.university им. К.Сатпаева

  20. Upcoming fantasy MOBA https://bladesofthevoid.com evolved by Web3. Gacha perks, AI and crafting in one swirling solution!

  21. Kylie Jenner https://kylie-cosmetics.kylie-jenner-ar.com is an American model, media personality, and businesswoman, born on August 10, 1997 in Los Angeles, California.

  22. Sadio Mane https://al-nassr.sadio-mane-ar.com the Senegalese footballer best known for his performances at clubs such as Southampton and Liverpool, has become a prominent figure in Al Nassr.

  23. Edson Arantes https://santos.pele-ar.com do Nascimento, known as Pele, was born on October 23, 1940 in Tres Coracoes, Minas Gerais, Brazil.

  24. Travis Scott https://astroworld.travis-scott-ar.com is one of the brightest stars in the modern hip-hop industry.

  25. Zinedine Zidane https://real-madrid.zinedine-zidane-ar.com the legendary French footballer, entered the annals of football history as a player and coach.

  26. Juventus Football Club https://italy.juventus-ar.com is one of the most successful and decorated clubs in the history of Italian and world football.

  27. Автомобили Hongqi https://hongqi-krasnoyarsk.ru в наличии – официальный дилер Hongqi Красноярск

  28. Priyanka Chopra https://baywatch.priyankachopra-ar.com is an Indian actress, singer, film producer and model who has achieved global success.

  29. Jennifer Lopez https://lets-get-loud.jenniferlopez-ar.com was born in 1969 in the Bronx, New York, to parents who were Puerto Rican immigrants.

  30. Mike Tyson https://american-boxer.mike-tyson-ar.com one of the most famous and influential boxers in history, was born on June 30, 1966 in Brooklyn, New York.

  31. Muhammad Ali https://american-boxer.muhammad-ali-ar.com is perhaps one of the most famous and greatest athletes in the history of boxing.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *