SERIKALI YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 32.9 KUTOKA AIRTEL

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James (wa kwanza kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa Kampuni ya Airtel Tanzania Bi. Beatrice Singano akifafanua jambo baada ya Kampuni hiyo kutoa gawio na michango ya maendeleo kwa Serikali yenye thamani ya shilingi bilioni 32.99. Kuanzia kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania Bw. George Mathen, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Airtel Bw. Gabriel Malata na wa tatu kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha na Mipango Benny Mwaipaja, katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma.

Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania Plc, imeilipa Serikali ya Tanzania, shilingi 32.9 bilion kama gawio na mchango maalum wa maendeleo baada ya kupata faida katika Mwaka wa Fedha 2019/20.

Mfano wa Hundi mbili za fedha hizo Fedha hizo ziliwasilishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Airtel Tanzania Plc, Bw. Gabriel Malata na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango ambaye pia ndiye mlipaji Mkuu wa Serikali, Bw. Doto James, Jijini Dodoma.

Ad
Katibu Mkuu wizara ya Fedha na Mipamngo Bw. Doto James akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Bw. George Mathen akifafanua jambo baada ya Kampuni yake kuipatia Serikali gawio na michango ya maendeleo ikiwa na thamani ya shilingi bilioni 32.99 wakati wa hafla iliyofanyika jijini Dodoma.

Akikadidhi hundi hiyo, Bw. Malata alisema katika kiwango hicho cha shilingi bilioni 32.99, shilingi bilioni 18.99 ni gawio na shilingi bilioni 14 ni mchango maalum wa maendeleo kwa Serikali baada ya Kampuni hiyo kupata faida ya bilioni 38.5 kwa mwaka unaoishia Disemba 2019/2020.

Akielezea mafanikio yaliyosababisha Kampuni yake kutoa gawio nono na michango ya maendeleo ya shilingi bilioni 1 kila mwezi, Bw. Gabriel Malata alisema licha ya uwekezaji mzuri katika upanuzi wa mtandao, idadi ya wateja imeongezeka kutoka milioni 11.4 Machi 2019 mpaka 13.3 milioni Machi 2020 na kwa sasa umiliki wa soko ni asilimia 27 kwa taarifa ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Airtel Tanzania, Bw. Gabriel Malata, akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi gawio na michango ya maendeleo kwa Serikali, Jijini Dodoma. Serikali inamiliki asilimia 49 ya hisa katika Kampuni hiyo na Kampuni ya Bharti Airtel inamiliki asilimia 51.

Aliongeza kuwa Airtel Tanzania Plc imetoa ajira za moja kwa moja zaidi ya 500 huku wanafanyakazi wa kigeni wakiwa saba tu na kupitia kampuni hiyo, Watanzania 350,000 wamejiajiri kwa kuuza huduma za kampuni ya Airtel Tanzania Plc kama vile kuuza vocha, mawakala wa Airtel Money hivyo kuchangia maendeleo ya uchumi kwa kulipa ushuru kwa Serikali

Na kwa kuunga mkono maendeleo ya serikali kama elimu na afya, Airtel pia imetoa  2.3 bilioni kwenye ujenzi wa Hosptili mkoani Dodoma na kwa kushirikiana na Mamlaka ya Elimu Tanzania (VETA) kuzindua elimu kwa mtandao kupitia applikesheni ya VSOMO ambapo  wanafunzi zaidi ya 500 wamehitimu.

Akizungumza katika hafla hiyo Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James alisema tukio hilo la Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel kutoa gawio na mchango wa maendeleo wa shilingi bilioni 32.99 ni la kihistoria baada ya Serikali na Kampuni hiyo kuingia makubaliano maalumu ya kiutendaji na kiumiliki yaliyofanyika mwaka 2019.

Meza Kuu ikiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Wizara hiyo baada ya Serikali kupokea gawio na michango ya maendeleo yenye thamani ya Sh. bilioni 32.99 kutoka Kampuni ya Airtel Tanzania jijini Dodoma.

Na. Farida Ramadhani, WFM, Dodoma

“Baada ya majadiliano makali nay a muda mrefu, hatimaye Kampuni ya Bharti Airtel ilikubali kuongeza hisa za Serikali kutoka asilimia 40 hadi asilimia 49 na Bartel imebakiwa na asilimia 51” alifafanua Bw. James.

Aliipongeza Kampuni ya Airetl Tanzania kwa kutoa kiasi hicho kikubwa cha gawio cha cha shilingi bilioni 18.99 na kiasi kingine cha shilingi bilioni 14 zinazotokana na mchango wa Kampuni hiyo kwa Serikali ambapo inatoa shilingi bilioni 1 kila mwezi kuanzia mwaka jana na itakuwa ikifanya hivyo katika kipindi cha miaka mitano ambapo jumla ya shilingi bilioni 60 zinatarajiwa kupatikana.

Bw. James alizitaka Kampuni na Mashirika ambayo Serikali inamiliki hisa kuiga mfano wa Kampuni ya Airtel ili fedha zinazopatikana zichangie shughuli mbalimbali za maendeleo ya nchi ikiwemo kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo, kuboresha huduma za jamii kama vile afya, elimu na maji kwa Watanzania wote.

 “Mashirika ya Umma na Kampuni ambazo bado zinatoa gawio dogo na zile ambazo hazitoi gawio, zinatakiwa kujitathmini na kuhakikisha zinafanya vizuri na kulipa gawio ili kuiwezesha Serikali kutekeleza majukumu yake ipasavyo”, alisisitiza Bw. James

Naye Msajili wa Hazina, Bw. Athumani Mbuttuka alisema ofisi yake imeendelea kuweka mikakati madhubuti kuhakikisha Taasisi, Mashirika ya Umma na kampuni ambazo Serikali ina hisa zinaendeshwa kwa tija na zinaendelea kutoa gawio endelevu kwa Serikali.

Awali, Msajili wa Hazina, Bw. Athumani Mbuttuka aliipongeza Airtel Tanzania Plc kwa gawio na mchango wake wa maendeleo na kuitaka kuendelea kudhibiti matumizi na kuimarisha teknolojia katika utoaji wa huduma.

Aliahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa kampuni zote ambazo Serikali ni mwanahisa na kwamba wasiridhike na gawio walilotia bali mwakani watoe kiwango kikubwa zaidi kwa maendeleo ya nchi.

Alisema zaidi ya ufanisi wa kimapato, ofisi ya msajili inaendelea kufanya marekebisho katika mashirika na taasisi zilizo chini yake ili kuimarisha ukusanyaji wa mapato.

Ad

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mama Mzazi wa Mama Janeth Magufuli (Juliana Stephano Kidaso) katika eneo la Kigongo Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza

134 Maoni

  1. Скачать свежие новинки песен https://muzfo.net 2024 года ежедневно. Наслаждайтесь комфортным прослушиванием, скачивайте музыку за пару кликов на сайте.

  2. Карьерный коуч https://vminske.by/fashion/kto-takie-karernye-konsultanty — эксперт рынка труда, который помогает людям определить свои карьерные цели, развиваться в выбранной области и достигать успеха в профессиональной деятельности.

  3. Kylian Mbappe https://kylianmbappe.prostoprosport-ar.com is a French footballer, striker for Paris Saint-Germain and captain of the French national team. He began playing football in the semi-professional club Bondi, which plays in the lower leagues of France. He was noticed by Monaco scouts, which he joined in 2015 and that same year, at the age of 16, he made his debut for the Monegasques. The youngest debutant and goal scorer in the club’s history.

  4. Karim Benzema https://karimbenzema.prostoprosport-ar.com is a French footballer who plays as a striker for the Saudi Arabian club Al-Ittihad. He played for the French national team, for which he played 97 matches and scored 37 goals. At the age of 17, he became one of the best reserve players, scoring three dozen goals per season.

  5. Mohamed Salah https://mohamedsalah.prostoprosport-ar.com is an Egyptian footballer who plays as a forward for the English club Liverpool and the Egyptian national team. Considered one of the best football players in the world. Three-time winner of the English Premier League Golden Boot: in 2018 (alone), 2019 (along with Sadio Mane and Pierre-Emerick Aubameyang) and 2022 (along with Son Heung-min).

  6. Roberto Firmino Barbosa de Oliveira https://roberto-firmino.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, attacking midfielder, forward for the Saudi club “Al-Ahli”. Firmino is a graduate of the Brazilian club KRB, from where he moved to Figueirense in 2007. In June 2015 he moved to Liverpool for 41 million euros.

  7. Jude Victor William Bellingham https://jude-bellingham.prostoprosport-fr.com English footballer, midfielder of the Spanish club Real Madrid and the England national team. In April 2024, he won the Breakthrough of the Year award from the Laureus World Sports Awards. He became the first football player to receive it.

  8. Declan Rice https://declan-rice.prostoprosport-fr.com Footballeur anglais, milieu defensif du club d’Arsenal et de l’equipe nationale equipe d’Angleterre. Originaire de Kingston upon Thames, Declan Rice s’est entraine a l’academie de football de Chelsea des l’age de sept ans. En 2014, il devient joueur de l’academie de football de West Ham United.

  9. Xavi or Xavi Quentin Sy Simons https://xavi-simons.prostoprosport-fr.com Dutch footballer, midfielder of the Paris Saint-Germain club -Germain” and the Dutch national team, playing on loan for the German club RB Leipzig.

  10. Jamal Musiala https://jamal-musiala.prostoprosport-fr.com footballeur allemand, milieu offensif du club allemand du Bayern et du equipe nationale d’Allemagne. Il a joue pour les equipes anglaises des moins de 15 ans, des moins de 16 ans et des moins de 17 ans. En octobre 2018, il a dispute deux matchs avec l’equipe nationale d’Allemagne U16. En novembre 2020, il a fait ses debuts avec l’equipe d’Angleterre U21.

  11. Victor James Osimhen https://victor-osimhen.prostoprosport-br.com e um futebolista nigeriano que atua como atacante. O clube italiano Napoli e a selecao nigeriana.

  12. Neymar da Silva Santos Junior https://neymar.prostoprosport-br.com e um futebolista brasileiro que atua como atacante, ponta e atacante. meio-campista do clube saudita Al-Hilal e da selecao brasileira. Considerado um dos melhores jogadores do mundo. O maior artilheiro da historia da Selecao Brasileira.

  13. Профессиональные seo https://seo-optimizaciya-kazan.ru услуги для максимизации онлайн-видимости вашего бизнеса. Наши эксперты проведут глубокий анализ сайта, оптимизируют контент и структуру, улучшат технические аспекты и разработают индивидуальные стратегии продвижения.

  14. Mohamed Salah https://mohamed-salah.prostoprosport-cz.org je egyptsky fotbalista, ktery hraje jako utocnik za anglictinu. klub Liverpool a egyptsky narodni tym. Povazovan za jednoho z nejlepsich fotbalistu na svete.

  15. Virgil van Dijk https://virgil-van-dijk.prostoprosport-cz.org Nizozemsky fotbalista, stredni obrance, kapitan anglickeho klubu Liverpool a kapitan nizozemskeho narodniho tymu.

  16. номер телефона проститутки https://prostitutki-213.ru

  17. Качественная и недорогая детская мебель для детей лучшие цены, доставка и сборка.

  18. Latest news and details about the NBA in Azerbaijan https://nba.com.az. Hot events, player transfers and the most interesting events. Explore the world of the NBA with us.

  19. Сантехник — вызов сантехника на дом в Москве и Московской области в удобное для вас время.

  20. Play PUBG Mobile https://pubg-mobile.com.az an exciting world of high-quality mobile battle royale. Unique maps, strategies and intense combat await you in this exciting mobile version of the popular game.

  21. Check out the latest news, guides and in-depth reviews of the available options for playing Minecraft Az https://minecraft.com.az. Find the latest information about Minecraft Download, Pocket Edition and Bedrock Edition.

  22. Latest news about games for Android https://android-games.com.az, reviews and daily updates. Read now and get the latest information on the most exciting games

  23. Pin-up Casino https://pin-up.admsov.ru/ is an online casino licensed and regulated by the government of Curacao . Founded in 2016, it is home to some of the industry’s leading providers, including NetEnt, Microgaming, Play’n GO and others. This means that you will be spoiled for choice when it comes to choosing a game.

  24. Pin Up official https://pin-up.adb-auto.ru website. Login to your personal account and register through the Pin Up mirror. Slot machines for real money at Pinup online casino.

  25. Pin Up Casino https://pin-up.noko39.ru Registration and Login to the Official Pin Up Website. thousands of slot machines, online tables and other branded entertainment from Pin Up casino. Come play and get big bonuses from the Pinup brand today

  26. Смотрите онлайн сериал Отчаянные домохозяйки https://domohozyayki-serial.ru в хорошем качестве HD 720 бесплатно, рейтинг сериала: 8.058, режиссер сериала: Дэвид Гроссман, Ларри Шоу, Дэвид Уоррен.

  27. Pin Up https://pin-up.fotoevolution.ru казино, которое радует гемблеров в России на протяжении нескольких лет. Узнайте, что оно подготовило посетителям. Описание, бонусы, отзывы о легендарном проекте. Регистрация и вход.

  28. Открой мир карточных игр в Pin-Up https://pin-up.porsamedlab.ru казино Блэкджек, Баккара, Хило и другие карточные развлечения. Регистрируйтесь и играйте онлайн!

  29. Официальный сайт Pin Up казино https://pin-up.nasledie-smolensk.ru предлагает широкий выбор игр и щедрые бонусы для игроков. Уникальные бонусные предложения, онлайн регистрация.

  30. Pinup казино https://pin-up.vcabinet.kz это не просто сайт, а целый мир азартных развлечений, где каждый может найти что-то свое. От традиционных игровых автоматов до прогнозов на самые популярные спортивные события.

  31. Latest Diablo news https://diablo.com.az game descriptions and guides. Diablo.az is the largest Diablo portal in the Azerbaijani language.

  32. Latest World of Warcraft (WOW) tournament news https://wow.com.az, strategies and game analysis. The most detailed gaming portal in Azerbaijani language

  33. Azerbaijan NFL https://nfl.com.az News, analysis and topics about the latest experience, victories and records. A portal where the most beautiful NFL games in the world are generally studied.

  34. Discover exciting virtual football in Fortnite https://fortnite.com.az. Your central hub for the latest news, expert strategies and interesting e-sports reports. Collecting points with us!

  35. The latest analysis, tournament reviews and the most interesting features of the Spider-Man game https://spider-man.com.az series in Azerbaijani.

  36. Read the latest Counter-Strike 2 news https://counter-strike.net.az, watch the most successful tournaments and become the best in the world of the game on the CS2 Azerbaijan website.

  37. Mesut Ozil https://mesut-ozil.com.az latest news, statistics, photos and much more. Get the latest news and information about one of the best football players Mesut Ozil.

  38. Latest news, statistics, photos and much more about Pele https://pele.com.az. Get the latest news and information about football legend Pele.

  39. Канал для того, чтобы знания и опыт, могли помочь любому человеку сделать ремонт https://tvin270584.livejournal.com в своем жилище, любой сложности!

  40. Paul Labille Pogba https://paul-pogba.psg-fr.com Footballeur francais, milieu de terrain central du club italien de la Juventus. Champion du monde 2018. Actuellement suspendu pour dopage et incapable de jouer.

  41. The young talent who conquered Paris Saint-Germain: how Xavi Simons became https://xavi-simons.psg-fr.com leader of a superclub in record time.

  42. Forward Rodrigo https://rodrygo.real-madrid-ar.com is now rightfully considered a rising star of Real Madrid. The talented Santos graduate is compared to Neymar and Cristiano Ronaldo, but the young talent does not consider himself a star.

  43. Jude Victor William Bellingham https://jude-bellingham.real-madrid-ar.com English footballer, midfielder of the Spanish club Real Madrid and the England national team. In April 2024, he won the Breakthrough of the Year award from the Laureus World Sports Awards.

  44. Saud Abdullah Abdulhamid https://saud-abdulhamid.real-madrid-ar.com Saudi footballer, defender of the Al -Hilal” and the Saudi Arabian national team. Asian champion in the age category up to 19 years. Abdulhamid is a graduate of the Al-Ittihad club. On December 14, 2018, he made his debut in the Saudi Pro League in a match against Al Bateen

  45. Vinicius Junior https://vinisius-junior.com.az player news, fresh current and latest events for today about the player of the 2024 season

  46. Latest news and information about Marcelo https://marcelo.com.az on this site! Find Marcelo’s biography, career, playing stats and more. Find out the latest information about football master Marcelo with us!

  47. Khabib Abdulmanapovich Nurmagomedov https://khabib-nurmagomedov.com.az Russian mixed martial arts fighter who performed under the auspices of the UFC. Former UFC lightweight champion.

  48. Заказать вывоз мусора https://musorovozzz.ru в Москве и Московской области, недорого и в любое время суток в мешках или контейнерами 8 м?, 20 м?, 27 м?, 38 м?, собственный автопарк. Заключаем договора на вывоз мусора.

  49. Welcome to the site dedicated to Michael Jordan https://michael-jordan.com.az, a basketball legend and symbol of world sports culture. Here you will find highlights, career, family and news about one of the greatest athletes of all time.

  50. Usain St. Leo Bolt https://usain-bolt.com.az Jamaican track and field athlete, specialized in short-distance running, eight-time Olympic champion and 11-time world champion (a record in the history of this competition among men).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *