NCHI 15 ZARUHUSIWA KULETA WAANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU 2020

Balozi wa Umoja wa Ulaya Balozi Manfred Fanti akimuelezea jambo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi walipokutana kwa mazungumzo leo jijini Dar es Salaam

Nchi 15 kupitia Balozi zao hapa nchini zimeruhusiwa kuleta waangalizi wa Kimataifa katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Octoba, 2020 baada ya Balozi hizo kuwasilisha maombi na kufuata taratibu.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Ulaya Balozi Manfred Fanti na kuongeza kuwa uchaguzi wa mwaka huu kwa mara ya kwanza umekuwa tofauti na miaka iliyopita kwa kuwa unafanyika kwa kugharamiwa na fedha za ndani badala ya wahisani jambo ambalo baadhi ya watu walianza kuhofia kutokuwepo kwa waangalizi wa kimataifa katika uchaguzi.

“Huu ni uchaguzi mkuu ambao kwa mara ya kwanza kwa asilimia 100 tunaugharamia sisi wenyewe kama Serikali ya Tanzania, utaratibu wa uchaguzi chini ya sheria ya uchaguzi na chini ya utaratibu wa Kimataifa huwa tunakuwa na waangalizi wa uchaguzi na mwaka huu nchi hizo 15 kupitia balozi zao zimepata kibali mara baada ya kufuata taratibu za kuomba kuleta waangalizi wa uchaguzi mkuu,” Amesema Prof. Kabudi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akimfafanulia jambo Balozi wa Poland hapa nchini, Balozi Krzysztof.

Mbali na Balozi wa Umoja wa Ulaya pia Prof. Kabudi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Italia hapa nchini Balozi Roberto Mengoni na baadae Balozi wa Poland Balozi Krzysztof Buzalski ambapo amewakabidhi vitabu vya sheria ya uchaguzi na kanuni za uchaguzi na miongozo mbalimbali inayohusu masuala ya uchaguzi ili kuwapa fursa ya kufahamu namna uchaguzi unavyoendeshwa hapa nchini hasusani baada ya uwepo wa malalamiko kutoka kwa baadhi ya vyama vya upinzani juu ya kuenguliwa kwa wagombea wao.

Ad

Kwa upande wake Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa nchini Balozi Manfred Fanti amesema Nchi za Umoja huo zimekuwa zikifuatilia kwa karibu mchakato wa kampeni za uchaguzi mkuu zinavyoendelea hapa nchini ambapo mpaka sasa wanaridhishwa na kampeni zinavyofanyika kwa uhuru na amani na sasa wanajiandaa na zoezi la uangalizi wa uchaguzi huo.

Balozi wa Italia hapa nchini Mhe. Roberto Mengoni amesema amevutiwa na namna vyombo vya habari vimekuwa vikitoa nafasi kwa wagombea wote kwa uhuru na bila ya ubaguzi na kupongeza namna Watanzania wanavyojitokeza kwa wingi kusikiliza sera za wagombea mbali na tishio la corona na kwamba ana imani kuwa Kiongozi atakayechaguliwa atakuwa ametokana na utashi wa wananchi.

Mbali na masuala ya uchaguzi mkuu, Waziri Kabudi na Mabalozi hao wamejadili pia masuala ya kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia,maendeleo ya kiuchumi,biashara na uwekezaji katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu,afya,maji na miundombinu.

Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.

Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo …

18 Maoni

  1. buy tiktok views and likes buy tiktok likes

  2. Pedro Gonzalez Lopez https://pedri.prostoprosport-ar.com better known as Pedri, is a Spanish footballer who plays as an attacking midfielder for Barcelona and the Spanish national team. Bronze medalist of the 2020 European Championship, as well as the best young player of this tournament. Silver medalist at the 2020 Olympic Games in Tokyo. At the age of 18, he was included in the list of 30 football players nominated for the 2021 Ballon d’Or.

  3. Neymar da Silva Santos Junior https://neymar.prostoprosport-ar.com is a Brazilian footballer who plays as a striker, winger and attacking midfielder for the Saudi Arabian club Al-Hilal and the Brazilian national team. Considered one of the best players in the world. The best scorer in the history of the Brazilian national team.

  4. Взять займ или кредит
    https://stroika12.com/stroitelstvo-domov/kak-vybrat-schet-dlya-polucheniya-zajma/ под проценты, подав заявку на денежный микрозайм для физических лиц. Выбирайте среди 570 лучших предложений займа онлайн. Возьмите микрозайм онлайн или наличными в день обращения. Быстрый поиск и удобное сравнение условий по займам и микрокредитам в МФО.

  5. Philip Walter Foden https://phil-foden.prostoprosport-fr.com better known as Phil Foden English footballer, midfielder of the Premier club -League Manchester City and the England national team. On December 19, 2023, he made his debut at the Club World Championship in a match against the Japanese club Urawa Red Diamonds, starting in the starting lineup and being replaced by Julian Alvarez in the 65th minute.

  6. Mohamed Salah Hamed Mehrez Ghali https://mohamed-salah.prostoprosport-fr.com Footballeur egyptien, attaquant du club anglais de Liverpool et l’equipe nationale egyptienne. Considere comme l’un des meilleurs footballeurs du monde

  7. Thibaut Nicolas Marc Courtois https://thhibaut-courtois.prostoprosport-fr.com Footballeur belge, gardien de but du club espagnol du Real Madrid . Lors de la saison 2010/11, il a ete reconnu comme le meilleur gardien de la Pro League belge, ainsi que comme joueur de l’annee pour Genk. Triple vainqueur du Trophee Ricardo Zamora

  8. Kylian Mbappe Lotten https://kylianmbappe.prostoprosport-br.com Futebolista frances, atacante do Paris Saint-Germain e capitao da selecao francesa equipe . Em 1? de julho de 2024, ele se tornara jogador do clube espanhol Real Madrid.

  9. Karim Mostafa Benzema https://karim-benzema.prostoprosport-br.com Futebolista frances, atacante do clube saudita Al-Ittihad . Jogou pela selecao francesa, pela qual disputou 97 partidas e marcou 37 gols.

  10. Zlatan Ibrahimovic https://zlatan-ibrahimovic.prostoprosport-br.com Bosnian pronunciation: ibraxi?mo?it?]; genus. 3 October 1981, Malmo, Sweden) is a Swedish footballer who played as a striker. Former captain of the Swedish national team.

  11. Jude Bellingham https://jude-bellingham.prostoprosport-br.com Futebolista ingles, meio-campista do clube espanhol Real Madrid e do Selecao da Inglaterra. Em abril de 2024, ele ganhou o premio Breakthrough of the Year do Laureus World Sports Awards. Ele se tornou o primeiro jogador de futebol a recebe-lo.

  12. Thomas Mueller https://thomasmueller.prostoprosport-br.com is a German football player who plays for the German Bayern Munich. Can play in different positions – striker, attacking midfielder. The most titled German footballer in history

  13. Lionel Messi https://lionel-messi.prostoprosport-cz.org je argentinsky fotbalista, utocnik a kapitan klubu MLS Inter Miami. , kapitan argentinske reprezentace. Mistr sveta, vitez Jizni Ameriky, vitez finale, olympijsky vitez. Povazovan za jednoho z nejlepsich fotbalistu vsech dob.

  14. Pablo Martin Paez Gavira https://gavi.prostoprosport-cz.org Spanelsky fotbalista, zaloznik barcelonskeho klubu a spanelske reprezentace. Povazovan za jednoho z nejtalentovanejsich hracu sve generace. Ucastnik mistrovstvi sveta 2022. Vitez Ligy narodu UEFA 2022/23

  15. отчаянные домохозяйки онлайн бесплатно https://domohozyayki-serial.ru

  16. Sports in Azerbaijan https://idman-xeberleri.com.az development and popular sports Azerbaijan is a country with rich sports traditions and outstanding achievements on the international stage.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *