MELI YA ABIRIA MV MBEYA II KUANZA SAFARI LEO

Meli ya abiria ya Mv Mbeya II, leo tarehe 5 Oktoba, 2020 inaanza safari yake ya kwanza ya kutoka bandari ya Itungi kwenda Mbamba bay.

Meli hiyo itapita katika bandari za Matema, Lupingu, Manda, Ndumbi, Liuli, na Mbamba bay.

Ad

Ambapo maandalizi yote yamekamilika meli inaanza safari asubuhi hii, kuanza kwa safari hizo kutatua changamoto ya usafiri katika Ziwa Nyasa wa kutoka Itungi kwenda Mbamba bay.

Ad

Unaweza kuangalia pia

MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MRADI WA MAJI SAME MWANGA KOROGWE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri kuhusu maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maji Maji wa Same – Mwanga – Korogwe wakati alipotembelea chanzo cha mradi huo eneo la la Nyumba yaMungu Wilaya ya Mwanga wakati akiwa ziarani mkoani Kilimanjaro tarehe 21 Machi 2024. Makamu …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *