Afisa Elimu Mwandamizi wa Makumbusho ya Taifa, Bibi Anamary Bagenyi akitoa maelezo kuhusu sanaa za sasa kwa wake wa Marais wa Jamhuri ya Malawi na Tanzania walipotembelea Makumbusho ya TaifaMhifadhi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa, Dkt. Amandus Kweka akitoa maelezo kwa Wake wa Marais Malawi na Mama Monica Chakwera Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Janeth Magufuli walipotemebelea chumba maalum cha kutunzia vitu vya thamani vya urithi wa asili na utamaduni wa Tanzania