RAIS MAGUFULI LEO AMETEMBELEA NA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA NYUMBA MAALUMU YA RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA KIKWETE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiteta Jambo na Rais mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete. Wakati alipotembelea Ujenzi wa Nyumba ya Mhe.Kikwete inayojengwa na serikali kwa mujibu wa Sheria namba 3 ya Mwaka 1999 inayo ainisha ujenzi wa Nyumba maalumu kwa ajili ya makazi ya waheshimiwa Marais Mara wanapo Staafu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa nyumba maalumu ya Rais mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete. Ujenzi wa Nyumba hiyo inajengwa na serekali kwa mujibu wa Sheria namba 3 ya Mwaka 1999 inayo ainisha ujenzi wa Nyumba maalumu kwa ajili ya makazi ya waheshimiwa Marais Mara wanapo Staafu.
Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.

Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo …

2 Maoni

  1. Yassine Bounou https://yassine-bounou.prostoprosport-ar.com also known as Bono, is a Moroccan footballer who plays as a goalkeeper for the Saudi Arabian club Al-Hilal and the Moroccan national team. On November 10, 2022, he was included in the official application of the Moroccan national team to participate in the matches of the 2022 World Cup in Qatar

  2. Lebron Ramone James https://lebronjames.prostoprosport-ar.com American basketball player who plays the positions of small and power forward. He plays for the NBA team Los Angeles Lakers. Experts recognize him as one of the best basketball players in history, and a number of experts put James in first place. One of the highest paid athletes in the world.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *