Mameneja wote wanaosimamia vituo vya kupoza na kusambaza umeme nchini wametakiwa kufanya ukaguzi ( checkup) wa kila siku asubuhi katika mitambo na mashine zilizopo katika vituo hivyo kuondoa adha ya kukatika umeme kutokana na hitilafu au uharibifu katika vituo hivyo. Licha ya kuwa vituo hivyo vinafanyiwa ukarabati na ukaguzi wa …
Soma zaidi »MOI KUANZA KUZIBUA MISHIPA YA DAMU ILIYOZIBA KWENYE UBONGO
Mkurugenzi wa ubora na uhakiki wa Wizara ya Afya,Maendeleo ya jamii, Jinsia ,Wazee na Watoto Dkt Mohamed Mohamed leo tarehe 5/11/2018 amefungua kongamano la tano kimataifa la mafunzo ya madaktari bingwa wa upasuaji wa Ubongo, Mgongo na Mishipa ya fahamu katika ukumbi mpya wa Mikutano MOI ambapo mafunzo yanafanyika kwa …
Soma zaidi »LIVE: MKUTANO WA 13 WA BUNGE KIKAO CHA KWANZA
Viapo vya Wabunge wapya waliochaguliwa katika chaguzi ndogo kadhaa. Kipindi cha maswali na majibu
Soma zaidi »LIVE:Msemaji wa Serikali Akizungumzia Miaka 3 ya JPM
MTIHANI WA KIDATO CHA NNE KUFANYIKA KATIKA SHULE 4873 NA VITUO 1072.
Wanafunzi wa kidato cha nne nchini kote leo wameanza mitihani ya kumaliza elimu ya kidato cha nne katika shule 4873 na vituo vya kujitegemea 1072 wanaanza rasmi mitihani yao leo November 5 hadi 23 mwaka huu ya kumaliza elimu yao ya kidato cha nne. Tunawatakia wanafunzi wote mitihani mema.
Soma zaidi »RAIS MSATAAFU JK ATUNUKIWA TUZO
Rais Mstaafu Kikwete Atunikiwa Tuzo Kwa Kuwapa Kipaumbele Wanawake katika Uongozi. Rais Mstaafu Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ametunukiwa Tuzo ya Uongozi Uliotukuka na Taasisi ya Women Advacement for Economic and Leadership Empowerement Foundation (WAELE), kwa kutambua mchango wake kwa Kuwapa Wanawake Kipaumbele katika Uongozi. Tuzo hiyo ilikabidhiwa na Waziri …
Soma zaidi »Serikali Itaendelea Kushirikiana na Kanisa katika Kudumisha Amani na Upendo – Rais Magufuli
Rais Dkt. John Pombe Magufuli ameungana na Waumini wa Kanisa Katoliki hapa nchini kuadhimisha Jubilei ya miaka 150 ya Uinjilishaji Tanzania Bara. Misa Takatifu ya maadhimisho ya Jubilei hiyo ambayo imefanyika Bagamoyo Mkoani Pwani ambako Ukristo uliingia mwaka 1868 imeongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Nairobi nchini …
Soma zaidi »LIVE;Rais Magufuli katika Maadhimisho ya Miaka 150 ya Kanisa Katoliki
Rais Magufuli ahudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 150 ya Kanisa Katoliki hapa nchini. Sherehe za maadhimisho haya zinafanyika Bagamoyo Mkoani Pwani.
Soma zaidi »NIMERIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA SGR – MAJALIWA
Ni baada ya kuhakikishiwa kipande Dar-Morogoro kitakamilika Aprili 2019 badala ya Julai Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na kasi na viwango vya ujenzi wa mfumo wa reli ya kisasa (SGR) inayojengwa na kampuni ya Yapi Merkezi. Amesema kipande cha kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro chenye urefu wa km. …
Soma zaidi »