Tanzania MpyA+

SERIKALI YANUNUA MASHINE ZA MIONZI ZENYE THAMANI YA BILIONI 1.74

Serikali kupitia Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto imenunua mashine za Mionzi (digital X-ray) zipatazo kumi zenye thamani ya shilingi bilioni 1.74. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu wakati akipokea mashine hizo kwenye Bohari ya Dawa(MSD)  jijini Dar. Waziri Ummy amesema kuwa Serikaki inaendelea kutoa kipaumbele katika …

Soma zaidi »

VIKUNDI VYA BUSTANI KUTOA FURSA ZAIDI ZA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

Vikundi vya Kilimo cha Umwagiliaji ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini vimejipanga kutoa elimu itakayohamasisha vijana  na akina Mama  kuchangamkia fursa za kilimo cha umwagiliaji  hasa kwa jamii zinazoishi karibu na vyanzo vya maji mengi yanayoweza kutumika kwenye umwagiliaji. Hayo yamesemwa na  Gudluck Wambwe ambaye ni Mwenyekiti wa Kikundi cha …

Soma zaidi »

WAZIRI JENISTA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA SUKARI CHA MKULAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Jenista Mhagama ametembelea Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha sukari cha Mkulazi (Mbigili) Mkoani  Morogoro kuona maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho kuelekea katika hatua ya kuanza uzalishaji. Akizungumza katika ziara hiyo, Waziri Mhagama amewataka …

Soma zaidi »

MABENKI YETU, SASA TAMBUENI MADINI KAMA DHAMANA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO – WAZIRI MKUU

“Mabenki yetu anzisheni utaratibu wa kuweka.. dhamana, kuweka madini ya wananchi.. nunueni dhahabu. Nunueni dhahabu; Ili hawa wananchi badala ya kuhangaika kwenda kwenye minada amabapo wanalaliwa laliwa, aende benki ahifadhi kule.” – Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa “Badala ya kuleta fedha eweke madini yake.. atakuja kuyachukua mwakani nayo yatakuwa yameongezeka thamani. …

Soma zaidi »

MKOA WA SONGWE KUZINDUA KAMPENI ZA UPIMAJI AFYA BURE

Mkoa wa Songwe, kwa kushirikiana na  Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto kupitia mpango wa kitaifa wa kudhibiti UKIMWI NACP Kwa kushirikiana na shirika la MHRP – HJRMRI wameandaa huduma za upimaji wa afya zitakazo tolewa bure mkoani humo. Hayo yamesemwa na mkuu wa Mkoa Bri. Jen Nicodemas …

Soma zaidi »

MAKAMU WA RAIS;Elimu inahitajika kuzuia viumbe wageni/vamizi

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema ni vema kama nchi kujipanga mapema kuhakikisha kwamba viumbe vamizi hawaendelei kushamiri ili kuepusha Taifa kuingia kwenye gharama kubwa za kukabiliana na janga hilo hapo baadaye. “Pamoja na kwamba viumbe hawa ni janga la kiuchumi, kimazingira na kiafya lakini bado halijashughulikiwa kikamilifu hususani …

Soma zaidi »