Serikali yaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa jengo la ghorofa 17 za ofisi ya Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU) unaoendelea kufanyika mkoani Arusha Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula ambapo jana alitembelea na kukagua maendeleo …
Soma zaidi »Makamu wa Rais
August, 2020
-
20 August
CHUO CHA MADINI KUWA SEHEMU YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
Picha ya pamoja ya kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Nzega (kushoto), VIongozi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam (katikati) na wafanyakazi wa Wizara ya Madini (kulia) wakisikiliza wakati wa hafla ya kukabidhi Chuo cha Madini (MRI) kulelewa na UDSM katika hafla iliyofanyika Agosti 19, 2020 Kampasi ya …
Soma zaidi » -
20 August
SERIKALI IMEPOKEA GAWIO LA KIASI CHA SHILINGI BILIONI 15.2
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Phillip Mpango (katikati), akipokea mfano wa hundi kwa niaba ya Serikali yenye thamani ya Sh. Bilioni 15.2 ikiwa ni gawio kutoka kwa Benki ya NMB, wa pili kulia ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo …
Soma zaidi » -
20 August
NAIBU WAZIRI MABULA AISHUKIA HALMASHAURI YA USHETU KUSHINDWA KUTOA HATI KWA MIAKA MINNE
Na Munir Shemweta, WANMM USHETU Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameshangazwa na halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga kushindwa kutoa Hati ya Ardhi hata moja kwa wananchi katika kipindi cha miaka minne. Dkt Mabula alishangazwa na hali hiyo akiwa katika ziara yake ya kikazi …
Soma zaidi » -
19 August
DC CHONGOLO ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA STANDI YA DALADALA MWENGE
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo amesema kuwa ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa Stendi ya kisasa ya Daladala ya Mwenge inayojengwa kwa kiasi cha Shilingili Bilioni tano fedha zinazotokana na makusanyo ya ndani ya Manispaa hiyo. Chongolo ametoa kauli hiyo leo wakati alipofanya ziara yake ikiwa ni muendelezo …
Soma zaidi » -
19 August
SERIKALI YAUNDA TIMU MAALUM KUMSIMAMIA MKANDARASI WA REA KILIMANJARO
Veronica Simba – Kilimanjaro Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani ameunda Timu maalumu inayojumuisha wataalamu mbalimbali wa Serikali ili kumsimamia Mkandarasi anayetekeleza miradi ya umeme vijijini, Mkoa wa Kilimanjaro. Alitangaza uamuzi huo katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kitongoji cha Kambi ya Nyuki, wilayani Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Agosti …
Soma zaidi » -
19 August
MKURUGENZI MTENDAJI HESLB ATAKA BIDII, MAARIFA NA NIDHAMU KATIKA UTOAJI HUDUMA
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Abdul-Razaq Badru amewataka watumishi wa Ofisi hiyo kufanya kazi kwa bidi, maarifa na nidhamu kwa wateja wake ili kukidhi matarajio ya utoaji huduma bora kwa wanafunzi waombaji na warejeshaji wa mikopo ya elimu ya juu nchini. Akizingumza …
Soma zaidi » -
18 August
MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA YA CCM JIJINI DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Visiwani) Dkt Ali Mohamed Shein, wakirudi ukumbini baada ya mapumziko mafupi ya Kikao cha Kamati Kuu ya …
Soma zaidi » -
18 August
WATOA HUDUMA NDOGO YA FEDHA WATAKIWA KUJISAJILI NA KUKATA LESENI
Kamishna Msaidizi wa Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Dionesia Mjema akitoa maelezo ya awali katika mafunzo ya Sera, Sheria na Kanuni za Huduma Ndogo za Fedha kwa wadau wa Kanda ya Kati kutoka mikoa ya Iringa Dodoma na Singida, yaliyofanyika mjini …
Soma zaidi » -
18 August
NAIBU WAZIRI KANYASU AIAGIZA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUTOA KITALU CHA UWINDAJI WA KITALII KWA CHUO
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu ameamuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii kutoa kitalu cha Uwindaji wa Kitalii kwa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori, Mweka ili kitumike kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi wanaosomea masomo ya Uwindaji Bingwa (Professional Hunters) Ametoa agizo hilo …
Soma zaidi » -
18 August
DC CHONGOLO AMTAKA MKANDARASI ANAYEJENGA SOKO LA TANDALE KUONGEZA KASI YA UJENZI HUO
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo amemtaka Mkandarasi wa Kampuni ya NAMIS CORPORATE L.T.D ambaye anajenga Soko hilo kuongeza kasi ya ujenzi huo ili Wafanyabiashara waweze kurudi kwenye eneo lao. Chongolo amesema hayo alipofanya ziara katika soko la Tandale na kuwakuta wafanyabiashara katika mazingira yasiyo rafiki hali inayopelekea usumbufu …
Soma zaidi » -
17 August
KASI YA USAMBAZAJI UMEME KWENYE TAASISI ZA UMMA YAONGEZEKA
Hafsa Omar-Kagera Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, amesema Serikali inataendelea kuzipa kipaumbele Taasisi za Umma nchini katika usambazaji wa umeme vijijini ili siweze kutoa huduma bora kwa Watanzania. Ameyasema hayo , Agosti 16,2020 kwa nyakati tofauti wakati akiwa kwenye ziara ya kazi ya ukaguzi wa kazi ya usambazaji umeme …
Soma zaidi » -
17 August
BILIONI 100 KUPELEKA UMEME PEMBEZONI MWA MIJI
Veronica Simba – Arusha Serikali imetenga shilingi bilioni 103.8 kwa ajili ya kupeleka umeme katika maeneo yaliyo pembezoni mwa majiji, mikoa, manispaa na miji, nchi nzima. Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, alibainisha hayo kwa nyakati tofauti, Agosti 16, 2020 alipokuwa katika ziara ya kazi wilayani Arusha. Akizungumza muda mfupi …
Soma zaidi » -
17 August
NAIBU WAZIRI MABULA AWAPATIA HATI ZA ARDHI WALIMU ILEMELA
Na Munir Shemweta, WANMM ILEMELANaibu waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ametoa hati 315 kwa walimu wa shule za Msingi na Sekondari katika Manispaa ya Ilemela ikiwa ni juhudi zake za kuhakikisha walimu wa maniapaa hiyo wanamilikishwa ardhi kwa gharama nafuuWalimu waliopatiwa Hati za viwanja …
Soma zaidi » -
17 August
MILLIONI 715 ZATUMIKA KUBORESHA OFISI, MAKAZI YA VIONGOZI TANGA
Shilingi milioni 715 zimetumika kukarabati Nyumba za Wakuu wa Wilaya za Lushoto na Korogwe, kujenga nyumba ya Katibu Tawala wa Wilaya ya Lushoto na Ofisi nane za tarafa katika Wilaya hizo.Ujenzi na Ukarabati wa nyumba na ofisi hizo ni sehemu ya utekelezaji wa azima Serikali ya Awamu ya Tano kuboresha …
Soma zaidi »