Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Ramadhani Sima amefanya ziara katika kiwanda cha Keds Tanzania Company ltd kilichopo wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani, ili kujionea namna wanavyohifadhi mazingira wakati wa uzarishaji wake. Katika ziara hiyo Mhe. Sima aliambatana na Mkuu …
Soma zaidi »Makamu wa Rais
August, 2020
-
4 August
WAZIRI BITEKO – WACHIMBAJI ACHENI KUTOROSHA MADINI
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo na Mkuu wa Usalama Diwani Athuman wakiwa wameshika jiwe la Madini ya Tanzanite lilichimbwa na mfanyabiashara Saniniu Laizer anayetazama ni Waziri wa Madini Dotto Biteko Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip …
Soma zaidi » -
3 August
KAMPUNI YA ANDOYA YATAKIWA KUONGEZA UZALISHAJI WA UMEME
Jiwe la msingi la Kampuni ya Andoya liliwekwa na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kwa ajili ya kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Mtandazi, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja,alipofanya ziara ya kukagua shughuli za kuzalisha Umeme katika kampuni hiyo, …
Soma zaidi » -
3 August
MAENDELEO YA UJENZI WA KITUO JUMUISHI CHA UTOAJI HAKI CHA MAHAKAMA YA TANZANIA KINACHOJENGWA MJINI MOROGORO
Maendeleo ya Ujenzi wa Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Mahakama ya Tanzania kinachojengwa Mjini Morogoro. Jengo hilo litajumuisha Ngazi zote za Mahakama na Wadau wote wa shughuli za Kimahakama, Ujenzi wa Jengo hilo unatarajia kukamilika ifikapo mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu. Picha na Maelezo Tv
Soma zaidi » -
3 August
WAZIRI KAMWELWE ATENGUA NAFASI ZA MAMENEJA WA TANROADS MKOA WA PWANI NA LINDI
Lori la mizigo likipakia mawe katika eneo la Kilanjelanje mkoani Lindi tayari kwaajili ya kusafirishwa kuelekea jijini Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, ametengua nafasi ya Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), mkoa wa Pwani na Lindi kutokana na kutoridhishwa na usimamizi na …
Soma zaidi » -
1 August
MAKAMU WA RAIS AZINDUA MAONESHO YA NANENANE MKOANI SIMIYU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akilihutubia Taifa kwenye Sherehe ya Uzinduzi wa Maonesho ya Sikukuu ya Wakulima Nanenane Kitaifa katika Viwanja vya Nyakabindi Mkoani Simiyu leo Agosti 01,2020. ambapo ujumbe wa mwaka huu Nanenane kwa maendeleo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Chagua Kiongozi …
Soma zaidi »
July, 2020
-
30 July
RAIS DKT. MAGUFULI AKIPITA KWENYE DARAJA LA MKAPA RUFIJI MKOANI PWANI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita na kukagua Daraja la Mkapa linalopita katika Mto Rufiji mkoani Pwani wakati akitokea Masasi Mtwara kwenye msiba wa Marehemu Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa leo tarehe 30 Julai 2020. Daraja hilo linalounganisha Pwani …
Soma zaidi » -
30 July
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUFUNGUA MAONYESHO YA NANE MKOANI SIMIYU
Katibu Mkuu, Wizara ya Kilimo, Bwana Gerald Kusaya mapema tarehe 29 Julai, 2020 ametembelea Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Simiyu na baadae alielekea katika Viwanja vya Nyakabindi. Katibu Mkuu Kusaya aliekea katika Viwanja vya Nyakabindi ili kujionea na kukagua maandalizi ya eneo la maonyesho ikiwa ni pamoja na kujionea …
Soma zaidi » -
30 July
KATIBU MKUU KILIMO KUSAYA AGAWA PIKIPIKI 18 KWA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI NCHINI
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Gerald Kusaya amesema kuwa serikali imeendelea kuboresha sekta ya kilimo kwa kutoa Dola Milioni 35.3 kwa ajili ya kuwezesha mapambano dhidi ya Sumukuvu katika mazao ya wakulima nchini. Hayo yamebainishwa Jijini Dodoma wakati wa kutoa pikipiki kwa wakurugenzi wa halmashauri 18 wa Tanzania bara kwa …
Soma zaidi » -
30 July
WANANCHI WAMESHAURIWA KUJENGA TABIA YA KUPIMA AFYA ZAO MARA KWA MARA
Wananchi wameshauriwa kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara kwa kufanya hivyo watatambua kama wana maradhi au la na kama wana maradhi wataweza kupata huduma za matibabu kwa wakati. Pia wameombwa kuwa na bima ya afya ambazo zitawasaidia kupata matibabu pindi watakapouguwa kwani maradhi huja muda wowote, wakati …
Soma zaidi » -
30 July
TANZANIA KUWA NA VIWANDA VISIVYOPUNGUA 30 VYA DAWA NA VIFAA TIBA,VIWANDA 14 VIKO TAYARI
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Bw.Adam Fimbo akizungumza jambo wakati wa kufunga kikao kazi cha Wahariri na Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam na Morogoro kilichofanyika mkoani Morogoro kilichoandaliwa na TMDA. Tanzania katika kuhakikisha inatimiza azma ya kuwa nchi ya viwanda na …
Soma zaidi » -
30 July
TANZANIA YACHUKUWA UENYEKITI WA NCHI 79 ZA OACPS NA KUELEZEA KIPAUMBELE CHAKE
Tanzania imesema itatumia kipindi chake cha uenyeketi wa nchi za Afrika, Caribbean na Pacific na Umoja wa nchi za Ulaya katika kusisitiza juu ya urejeshwaji wa rasilimali zilizoporwa katika nchi hizo nyakati za ukoloni,kuheshimu mamlaka ya nchi husika na urejeshwaji wa wahamiaji haramu kwa kuzingatia utu na haki za binadamu.Naibu …
Soma zaidi » -
24 July
SERIKALI YAOMBOLEZA KIFO CHA MZEE MKAPA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa kilichotokea jijini Dar es Salaam na ametoa pole kwa familia kwa niaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Serikali. “Ndugu wanafamilia, kwa niaba ya Mheshimiwa Rais …
Soma zaidi » -
23 July
NGOs ZAKUMBUSHWA UWAZI NA UWAJIBIKAJI
Na Mwandishi Wetu Iringa Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) imeyataka Mashirika hayo kuwasilisha taarifa za kila robo mwaka zinazoonesha fedha na kazi wanazozifanya kwa Msajili ili aweze kujua miradi inayotekelezwa kwenye maeneo yalipo Mashirika hayo. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Ofisi ya msajili …
Soma zaidi » -
23 July
SERIKALI YATOA MSAMAHA WA KODI KWA MRADI WA UMEME GEITA – NYAKANAZI
Kasi ya Utekelezaji Mradi Mkubwa wa Kusafirisha umeme katika msongo wa Kilovolti 220 wa Geita-Nyakanazi wenye urefu wa kilomita 144 na unaosimamiwa na TANESCO imezidi kuongezeka baada ya Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha kutoa msamaha rasmi wa kodi ambayo ni zaidi ya takriban bilioni 25.Meneja wa mradi kutoka …
Soma zaidi »