NAIBU WAZIRI SIMA ATOA MIEZI MITATU KUJENGWA MTAMBO WA KUCHAKATA MAJI MACHAFU KATIKA KIWANDA CHA KEDS KIBAHA

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Muungano na Mazingira  Mhe. Mussa Ramadhani Sima amefanya ziara katika kiwanda cha Keds Tanzania Company ltd kilichopo wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani, ili kujionea namna wanavyohifadhi mazingira wakati wa uzarishaji wake.

Katika ziara hiyo Mhe. Sima aliambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe. Martin Ntemo , Meneja wa NEMC kanda ya Mashariki Bw. Arnold Mapinduzi  pamoja na kikosi kazi kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani na NEMC.

Ad

Aidha Mhe. Sima ameeleza kuwa kiwanda cha keds kinatakiwa kiwe na mtambo wa kuchakata maji machafu yanayotoka kiwandani kabla ya kurusu kwenda kwenye miundombinu iliyojegwa na serikali na kusambaa ardhini.

“wamiliki wa kiwanda cha keds wahakikishe wanatunza Mazingira hasa kweye suala la maji taka na kemikali zote zinazotoka kiwandani, wahakikishe wanakibali cha kumwaga maji taka kwenye miundombinu iliyojengwa na serikali. Vile vile wajenge mtambo maalum wa kutibu majitaka ili yasiharibu mazigira yetu hii itakuwa ni njia nzuri ya kutunza mazingira na wananchi wetu hawataweza kulalamika” alisema Sima

hata hivyo Mhe. Sima ametoa miezi mitatu kwa kiwada hicho kuhakikisha wameweka mtambo wa kutibu maji machafu yenye kemikali yanayotoka kiwadani “wataalamu wa NEMC walito maelekezo awali waache kumwaga maji machafu yenyekemikali bila kuwepo na utaratibu, sasa wahakikishe wanafata maelekezo yote waliyopewa na wataalamu wa NEMC na waachekutililisha maji machafu hovyo ambayo yanalalamikiwa na wananchi kwenye maeneo yanayozunguka kiwanda hicho. Natoa miezi mitatu waakikishe mtambo huo umejengwa”.

Kwaupande wake Bw. Faustine Luhende afisa Afya na Usalama wa Kiwanda cha Keds ameeleza kuwa kiwanda kipo kweye mchakato wa kujega mtambo huo na waliomba wapewe miezi miwili watakuwa wamekamilisha lakini wanamshukuru Mhe. Sima kuwaongezea mwezi mmoja

Aidha Mhe. Sima ametoa pogezi katika kiwada cha lake steel & allied product ltd kilichopo kibaha kwa kufanyauzarishaji wake bila kiharibu Mazingira “nimefika kiwadani hapa nimejionea namna mnavyotunza Mazigira vizuri, nawapongeza kwa hili kwani viwanda vingi vinavyozalisha nondo nchini vimekuwa na changamoto nyingi katika kudhibiti kelele na moshi lakini kweye kiwanda hiki kimeweza kudhibiti chagamoto hizo”.

Hata hivyo akiwa kweye ziara hiyo mhe. Sima alikagua kiwada cha Chisai Innovation Center kinachojishughulisha na uchomaji wa taka hatarishi zinazotoka hospitalini. Alikagua kiwada hicho ili kujionea namna kinavyofanya kazi zake bila kuharibu Mazingira. Aidha ametoa maelekezo kwa Taasisi husika kusimamia shughuli hizi zinaenda ipasavyo ili kuepuka uchafu wa mazigira na kuepusha malalamiko kutoka kwa wananchi.

Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.

Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo …

14 Maoni

  1. Real Madrid midfielder Rodrigo https://rodrygo.prostoprosport-ar.com gave Madrid the lead in the Champions League quarter-final first leg against Manchester City. The meeting takes place in Madrid. Rodrigo scored in the 14th minute after a pass from Vinicius Junior.

  2. Mohamed Salah https://mohamedsalah.prostoprosport-ar.com is an Egyptian footballer who plays as a forward for the English club Liverpool and the Egyptian national team. Considered one of the best football players in the world. Three-time winner of the English Premier League Golden Boot: in 2018 (alone), 2019 (along with Sadio Mane and Pierre-Emerick Aubameyang) and 2022 (along with Son Heung-min).

  3. Kevin De Bruyne https://kevin-de-bruyne.prostoprosport-ar.com Belgian footballer, midfielder of the Manchester club City” and the Belgian national team. A graduate of the football clubs “Ghent” and “Genk”. In 2008 he began his adult career, making his debut with Genk.

  4. Roberto Firmino Barbosa de Oliveira https://roberto-firmino.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, attacking midfielder, forward for the Saudi club “Al-Ahli”. Firmino is a graduate of the Brazilian club KRB, from where he moved to Figueirense in 2007. In June 2015 he moved to Liverpool for 41 million euros.

  5. Declan Rice https://declan-rice.prostoprosport-fr.com Footballeur anglais, milieu defensif du club d’Arsenal et de l’equipe nationale equipe d’Angleterre. Originaire de Kingston upon Thames, Declan Rice s’est entraine a l’academie de football de Chelsea des l’age de sept ans. En 2014, il devient joueur de l’academie de football de West Ham United.

  6. Jamal Musiala https://jamal-musiala.prostoprosport-fr.com footballeur allemand, milieu offensif du club allemand du Bayern et du equipe nationale d’Allemagne. Il a joue pour les equipes anglaises des moins de 15 ans, des moins de 16 ans et des moins de 17 ans. En octobre 2018, il a dispute deux matchs avec l’equipe nationale d’Allemagne U16. En novembre 2020, il a fait ses debuts avec l’equipe d’Angleterre U21.

  7. Erling Breut Haaland https://erling-haaland.prostoprosport-br.com Futebolista noruegues, atacante do clube ingles Manchester City e Selecao da Noruega. Detentor do recorde da Premier League inglesa em gols por temporada.

  8. Mohamed Salah https://mohamedsalah.prostoprosport-br.com e um futebolista egipcio que joga como atacante do clube ingles Liverpool e do Selecao egipcia. Considerado um dos melhores jogadores de futebol do mundo. Tricampeao da Chuteira de Ouro da Premier League inglesa: em 2018 (sozinho), 2019 (junto com Sadio Mane e Pierre-Emerick Aubameyang) e 2022 (junto com Son Heung-min).

  9. Erling Breut Haaland https://erling-haaland.prostoprosport-cz.org je norsky fotbalista, ktery hraje jako utocnik za Anglicky klub Manchester City a norska reprezentace. Rekordman anglicke Premier League v poctu golu za sezonu.

  10. Kylian Mbappe Lotten https://kylian-mbappe.prostoprosport-cz.org Francouzsky fotbalista, utocnik Paris Saint-Germain a kapitan tymu francouzskeho tymu. 1. cervence 2024 se stane hracem spanelskeho klubu Real Madrid.

  11. Virgil van Dijk https://virgil-van-dijk.prostoprosport-cz.org Nizozemsky fotbalista, stredni obrance, kapitan anglickeho klubu Liverpool a kapitan nizozemskeho narodniho tymu.

  12. Romelu Menama Lukaku Bolingoli https://romelu-lukaku.prostoprosport-cz.org Belgicky fotbalista, utocnik anglickeho klubu Chelsea a Belgican vyber. Na hostovani hraje za italsky klub Roma.

  13. World of Games https://onlayn-oyunlar.com.az provides the latest news about online games, game reviews, gameplay and ideas, game tactics and tips. The most popular and spectacular

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *