KAMPUNI YA ANDOYA YATAKIWA KUONGEZA UZALISHAJI WA UMEME

Jiwe la msingi la Kampuni ya Andoya liliwekwa na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kwa ajili ya kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Mtandazi, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja,alipofanya ziara ya kukagua shughuli za kuzalisha Umeme katika kampuni hiyo, wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma, Agosti 01, 2020.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja, ameitaka Kampuni ya Andoya inayozalisha Umeme kwa kutumia Maporomoko ya Maji ya Mto Mtandazi kutanua wigo wa Kampuni hiyo ili kuongeza uzalishaji zaidi.

Masanja alisema hayo, Agosti 01, 2020, wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma,wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi huo ili kuona shughuli za kufua na kuzalisha Umeme wa Megawati moja kwa kutumia Maporomoko ya Maji ya Mto Mtandazi zinazofanywa na kampuni hiyo tangu mwaka 2015.

Ad
Moja ya Nguzo za umeme zinazotumika kusambaza umeme unaozalishwa na Kampuni ya Andoya kwa wakazi wa vijiji vitatu vilivyo karibu na mradi huo.

Alisema kampuni ya Andoya inazalisha umeme ambao huliuzia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na pia katika Vijiji vitatu vilivyokaribu na mradi huo ambavyo ni Lifakara, Kilimani na Mbangamao.

Masanja aliueleza Uongozi wa Andoya kuwa wana uwezo na nafasi kubwa ya kuweza kutanua mradi huo na kuongeza uzalishaji wa Umeme kwakuwa eneo la mradi ni kubwa na linatosha.

“Kampuni yenu inanafasi kubwa ya kukuwa kiuzalishaji,sababu mnachanzo cha uhakika ambacho kina maji ya kutosha na yanayopatikana muda wote, azma ya Serikali ni kuwa na uwezo wa kuzalisha MWA 10,000 ifikapo 2025. hivyo, mchango wa wazalishaji wadogo unahitajika sana”, alisema Mhandisi Masanja.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja, (kulia) akipata maelezo katika eneo la Bwawa la kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Mtandazi ya kampuni ya Andoya kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Alex Andoya(kushoto), alipofanya ziara ya kukagua shughuli za kuzalisha Umeme katika kampuni hiyo, wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma, Agosti 01, 2020.Wa pili kushoto ni Kamishna Msaidizi wa Umeme, Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga na wapili kulia na Mkurugenzi Mwanzilishi wa Kampuni hiyo, Janeth Andoya.

Aidha alizitaka Taasisi za kifedha kuendelea kushirikiana na kuwaunga mkono wazalishaji binafsi wa umeme nchini kwa kuwapatia mikopo pale inapohitajika kwa lengo la kujenga, kuboresha au kutanua wigo wa mradi husika kwa kwakuwa miradi hiyo inadumu kwa muda mrefu.

Aliwasihi wasimamizi wa mradi huo waendelee kuusimamia vizuri ili uendelee kuzalisha umeme kwa kuwa miradi ya kuzalisha umeme wa maji ikisimamiwa vizuri huishi  na kudumu kwa muda mrefu.

Meneja wa kituo cha kuzalisha umeme cha Andoya,Jasper Bubelwa ,akimpa maelezo ya uzalishaji wa umeme katika kampuni hiyo, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja,(wa pili kulia) alipofanya ziara ya kukagua shughuli za kuzalisha Umeme kwa kutumia maporomoko ya Maji ya Mto Mtandazi, wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma, Agosti 01, 2020.

Vilevile aliwaagiza wasimamizi husika wa mradi huo kubadilisha Mita za umeme zinazotumiwa na wateja wao katika vijiji vitatu vilivyo karibu na mradi huo ambazo ni za mfumo wa kizamani zinazomruhuru mteja kutumia kwanza huduma ya umeme ndipo alipie, badala yake wawafungie mita za LUKU zinazotumika sasa ambazo mteja hulipia umeme kadri anavyotumia.

Aliendelea kusisitiza kuwa jukumu la Serikali ni kupitia Wizara ya Nishati ni kutunga Sera na kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji katika Sekta ya Nishati. Kwa muktadha huo, Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zake itaendelea kusimamia sheria, taratibu na kanuni za uwekezaji katika sekta ya Nishati ili kuendelea kuvutia wawekezaji nchini.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Kampuni ya Andoya, Alex  Andoya aliishukuru serikali kupitia Wizara ya Nishati na Taasisi ziliochini yake kwa ushirikiano walioutoa kwa kampuni hiyo tangu kuanzishwa kwake hadi sasa.

Aina ya mita zinazotumiwa na wateja wa Umeme wa Andoya katika vijiji vitatu vilivyokaribu na mradi huo ambazo zinamruhusu mteja kutumia huduma ya umeme kabla ya kulipia.

Na Zuena Msuya, Ruvuma

Aidha aliahidi kushirikiana na taasisi za kifedha kuongeza uzalishaji wa umeme katika mradi wao kama alivyoshauriwa kwa kuwa wanachanzo cha uhakika cha kuzalisha umeme.

Aidha alieleza kwa ufupi juu ya mradi huo, kwa kueleza kuwa  Ujenzi wa Mradi wa Andoya ulibuniwa na Marehemu Baba yake Mzee Mbunda Andoya ambapo ulijengwa kwa awamu mbili (2), ya kwanza ilihusu ujenzi wa mtambo wa kuzalisha MW 0.5 ambapo ujenzi ulianza mwaka 2013 na kukamilika mwaka 2015.

Awamu ya pili ilihusisha uwekaji wa mtambo wa MW 0.5 ambapo ulikamilika mwaka 2018  na kuwa na jumla ya mitambo yenye kuzalisha MW 1.0.

Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.

Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo …

27 Maoni

  1. купить диплом института https://6landik-diploms.com

  2. Kylian Mbappe https://kylianmbappe.prostoprosport-ar.com is a French footballer, striker for Paris Saint-Germain and captain of the French national team. He began playing football in the semi-professional club Bondi, which plays in the lower leagues of France. He was noticed by Monaco scouts, which he joined in 2015 and that same year, at the age of 16, he made his debut for the Monegasques. The youngest debutant and goal scorer in the club’s history.

  3. смотреть сериал волчонок все сезоны https://volchonok-tv.ru

  4. The best film magazin https://orbismagazine.com, film industry trade publications in 2024 to keep you informed with the latest video production, filmmaking, photographynews. We create beautiful and magnetic projects.

  5. Ruben Diogo da Silva Neves https://ruben-neves.prostoprosport-ar.com is a Portuguese footballer who plays as a midfielder for the Saudi Arabian club Al-Hilal and the Portuguese national team. Currently, Ruben Neves plays for the Al-Hilal club wearing number 8. His contract with the Saudi club is valid until the end of June 2026.

  6. Mohammed Khalil Ibrahim Al-Owais https://mohammed-alowais.prostoprosport-ar.com is a Saudi professional footballer who plays as a goalkeeper for the national team Saudi Arabia and Al-Hilal. He is known for his quick reflexes and alertness at the gate.

  7. Damian Emiliano Martinez https://emiliano-martinez.prostoprosport-br.com Argentine footballer, goalkeeper of the Aston Villa club and national team Argentina. Champion and best goalkeeper of the 2022 World Cup.

  8. Laure Boulleau https://laure-boulleau.prostoprosport-fr.com French football player, defender. She started playing football in the Riom team, in 2000 she moved to Isere, and in 2002 to Issigneux. All these teams represented the Auvergne region. In 2003, Bullo joined the Clairefontaine academy and played for the academy team for the first time.

  9. Jude Victor William Bellingham https://jude-bellingham.prostoprosport-fr.com English footballer, midfielder of the Spanish club Real Madrid and the England national team. In April 2024, he won the Breakthrough of the Year award from the Laureus World Sports Awards. He became the first football player to receive it.

  10. Philip Walter Foden https://phil-foden.prostoprosport-fr.com better known as Phil Foden English footballer, midfielder of the Premier club -League Manchester City and the England national team. On December 19, 2023, he made his debut at the Club World Championship in a match against the Japanese club Urawa Red Diamonds, starting in the starting lineup and being replaced by Julian Alvarez in the 65th minute.

  11. Bernardo Silva https://bernardo-silva.prostoprosport-fr.com Portuguese footballer, midfielder. Born on August 10, 1994 in Lisbon. Silva is considered one of the best attacking midfielders in the world. The football player is famous for his endurance and performance. The athlete’s diminutive size is more than compensated for by his creativity, dexterity and foresight.

  12. Olivier Jonathan Giroud https://olivier-giroud.prostoprosport-fr.com French footballer, striker for Milan and the French national team. Knight of the Legion of Honor. Participant in four European Championships (2012, 2016, 2020 and 2024) and three World Championships (2014, 2018 and 2022).

  13. Carlos Henrique Casimiro https://carloscasemiro.prostoprosport-br.com Futebolista brasileiro, volante do clube ingles Manchester United e capitao do Selecao Brasileira. Pentacampeao da Liga dos Campeoes da UEFA, campeao mundial e sul-americano pela selecao juvenil brasileira.

  14. Philippe Coutinho Correia https://philippecoutinho.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, midfielder of the English club Aston Villa, playing on loan for the Qatari club Al-Duhail. He is known for his vision, passing, dribbling and long-range ability.

  15. Harry Kane https://harry-kane.prostoprosport-br.com recebeu um convite para a selecao sub-alterna da Inglaterra pela primeira vez tempo 17 para o torneio juvenil em Portugal. Ao mesmo tempo, o atacante, devido a doenca grave, nao compareceu ao triunfante Campeonato Europeu Sub-17 masculino de 2010 pelos britanicos.

  16. Gareth Frank Bale https://garethbale.prostoprosport-br.com Jogador de futebol gales que atuou como ala. Ele jogou na selecao galesa. Ele se destacou pela alta velocidade e um golpe bem colocado. Artilheiro (41 gols) e recordista de partidas disputadas (111) na historia da selecao.

  17. Jude Bellingham https://jude-bellingham.prostoprosport-br.com Futebolista ingles, meio-campista do clube espanhol Real Madrid e do Selecao da Inglaterra. Em abril de 2024, ele ganhou o premio Breakthrough of the Year do Laureus World Sports Awards. Ele se tornou o primeiro jogador de futebol a recebe-lo.

  18. Virgil van Dijk https://virgilvandijk.prostoprosport-br.com Futebolista holandes, zagueiro central, capitao do clube ingles Liverpool e capitao do a selecao holandesa.

  19. Victor James Osimhen https://victor-osimhen.prostoprosport-br.com e um futebolista nigeriano que atua como atacante. O clube italiano Napoli e a selecao nigeriana.

  20. Thomas Mueller https://thomasmueller.prostoprosport-br.com is a German football player who plays for the German Bayern Munich. Can play in different positions – striker, attacking midfielder. The most titled German footballer in history

  21. Robert Lewandowski https://robert-lewandowski.prostoprosport-cz.org je polsky fotbalista, utocnik spanelskeho klubu Barcelona a kapitan polskeho narodniho tymu. Povazovan za jednoho z nejlepsich utocniku na svete. Rytir krize velitele polskeho renesancniho radu.

  22. Rodrigo Silva de Goiz https://rodrygo.prostoprosport-cz.org Brazilsky fotbalista, utocnik Realu Madrid a brazilskeho narodniho tymu. V breznu 2017 byl Rodrigo povolan do narodniho tymu Brazilie U17 na zapasy Montague Tournament.

  23. Thibaut Nicolas Marc Courtois https://thibaut-courtois.prostoprosport-cz.org Belgicky fotbalista, brankar spanelskeho klubu Real Madrid . V sezone 2010/11 byl uznan jako nejlepsi brankar v belgicke Pro League a take hrac roku pro Genk. Trojnasobny vitez Ricardo Zamora Trophy

  24. Качественная и недорогая мебель цена лучшие цены, доставка и сборка.

  25. Pin Up casino https://pin-up.salexy.kz official website, Pin Up slot machines play for money online, Pin Up mirror working for today.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *