Maendeleo ya Ujenzi wa Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Mahakama ya Tanzania kinachojengwa Mjini Morogoro.
Jengo hilo litajumuisha Ngazi zote za Mahakama na Wadau wote wa shughuli za Kimahakama,
Ad
Ujenzi wa Jengo hilo unatarajia kukamilika ifikapo mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu. Picha na Maelezo Tv
Ad